Mwl. Nyerere aliwezaje kuwazuia Wanafamilia yake kutoingilia mifumo ya utawala wake?

Mwl. Nyerere aliwezaje kuwazuia Wanafamilia yake kutoingilia mifumo ya utawala wake?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Tunashuhudia kwa nyakati hizi tulizo nazo watoto wa viongozi mbalimbali nao kuwa na kauli au nguvu za kufanya matendo ambayo sio halali ambayo hatimaye hupelekea kuleta aibu kwa wazazi wao kama tulivyoshuhudia hivi Majuzi kisa cha mtoto wa ndugu yetu Simbachawene, na hili sakata la mtoto wa Prince Jr. , linalotrends kwa sasa, je vijana wetu au watoto wetu wamekosa maadili sahihi?

Mwl. Aliwezaje? Kusimamia hili, au wazazi tumelegalega juu ya usimamizi makini wa familia zetu.

Watoto wanatuvua nguo wazazi.
 
Wengine wanawaingiza watoto wao kwenye siasa. Sio Jambo baya. Sasa wengine wameenda mbele zaidi na kuwaingiza kwenye ubabe, uhuni, magendo na msishangae kesho na kesho kutwa wakaingizwa kwenye umalaya na matumizi na biashara ya madawa ya kulevya. Wakati wazazi wao wakiwa kwenye majukwaa wanapinga vitendo viovu, kumbe geresha tu.
 
Wengine wanawaingiza watoto wao kwenye siasa. Sio Jambo baya. Sasa wengine wameenda mbele zaidi na kuwaingiza kwenye ubabe, uhuni, magendo na msishangae kesho na kesho kutwa wakaingizwa kwenye umalaya na matumizi na biashara ya madawa ya kulevya. Wakati wazazi wao wakiwa kwenye majukwaa wanapinga vitendo viovu, kumbe geresha tu.
Siamini kama ni kweli wazazi wanawaingiza katika kufanya yasiyo ya kimaadili, watanzania wengi kunakakitu tunaugua na hivyo kupelekea hofu ya kumwogopa mfano, mtoto wa tajiri mkubwa, mtoto wa kiongozi mkubwa, mtoto wa mfanyabiashara nguli n.k,,hivyo kupelekea kuathiri au kupindisha mfumo fulani, aidha kuulazimisha bila shuruti uende vice versa,na kupelekea kutoka nje ya misingi yetu ya kitaaluma.
 
Tunashuhudia kwa nyakati hizi tulizo nazo watoto wa viongozi mbalimbali nao kuwa na kauli au nguvu za kufanya matendo ambayo sio halali ambayo hatimaye hupelekea kuleta aibu kwa wazazi wao kama tulivyoshuhudia hivi Majuzi kisa cha mtoto wa ndugu yetu Simbachawene, na hili sakata la mtoto wa Primes, linalotrends kwa sasa, je vijana wetu au watoto wetu wamekosa maadili sahihi?

Mwl. Aliwezaje? Kusimamia hili, au wazazi tumelegalega juu ya usimamizi makini wa familia zetu.

Watoto wanatuvua nguo wazazi.
Kwa kiswahili chako unataka kutuaminisha Nyerere aliruhusu familia yake kuingilia utawala wake!
 
Tunashuhudia kwa nyakati hizi tulizo nazo watoto wa viongozi mbalimbali nao kuwa na kauli au nguvu za kufanya matendo ambayo sio halali ambayo hatimaye hupelekea kuleta aibu kwa wazazi wao kama tulivyoshuhudia hivi Majuzi kisa cha mtoto wa ndugu yetu Simbachawene, na hili sakata la mtoto wa Primes, linalotrends kwa sasa, je vijana wetu au watoto wetu wamekosa maadili sahihi?

Mwl. Aliwezaje? Kusimamia hili, au wazazi tumelegalega juu ya usimamizi makini wa familia zetu.

Watoto wanatuvua nguo wazazi.
Mkuu sijui kama unaelewa- waulize watu mdogo wake Kiboko ALIKUWA NAFANYAJE? Hata hivyo siyo vizuri kumhukumu mtu kwa sababu ya matendo ya ndugu zake. Nyerere alikuwa mtu na mtu kweli kama mtu
 
Tunashuhudia kwa nyakati hizi tulizo nazo watoto wa viongozi mbalimbali nao kuwa na kauli au nguvu za kufanya matendo ambayo sio halali ambayo hatimaye hupelekea kuleta aibu kwa wazazi wao kama tulivyoshuhudia hivi Majuzi kisa cha mtoto wa ndugu yetu Simbachawene, na hili sakata la mtoto wa Primes, linalotrends kwa sasa, je vijana wetu au watoto wetu wamekosa maadili sahihi?

Mwl. Aliwezaje? Kusimamia hili, au wazazi tumelegalega juu ya usimamizi makini wa familia zetu.

Watoto wanatuvua nguo wazazi.
Unamaana gani mtot yupi wa prime anatrends
 
Nyerere alikosea sana kuwaachia nchi wale watu
Akina nani mkuu? Hao. Naona pia watoto wa salim Ahmed salim hawa hawafahamiki kabisa, badala yake mtoto wa kigunge ndiye alikuwa gumzo la jiji sijui yapo wapi huyu ndugu?
 
Back
Top Bottom