Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #61
Segerea inakuhusu😂😂😂hawakuachii nakuambia,Ndugu Mshana Jr View attachment 3220192 hivi mzigo kama huu ukiupeleka bot wanakubadilishia au ndo imekula kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Segerea inakuhusu😂😂😂hawakuachii nakuambia,Ndugu Mshana Jr View attachment 3220192 hivi mzigo kama huu ukiupeleka bot wanakubadilishia au ndo imekula kwako.
Ujieleze kwanini umemfananisha World Presdaa na mnofu wa Kitimoto? 😆😂🤣Mkuu mkuu unataka kunitunika ajira ubalozini?🤣
Mbona kama haijaivahttps://pin.it/53Vi2kXPD Tahadhari: kama una njaa usifungue hii pin
Very poshy & elegant 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Unaweza kuiga uhandisi huuView attachment 3220124
Trump Mtupu huyu kwenye hii nyama ya kitu cheupeView attachment 3220125lete ya baridi tushushie na hii
Hii yenyewe sana
Bro angalia usije lewa, uka ishia kuruka sarakasi huku ume jifunga taulo ukweni🤣😂Very poshy & elegant 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Natamani ningejua hata makadirio ya kuzitengeneza maana tusije kuogopa kumbe bei za kizalendo
Very unique 😍Unaweza kuiga uhandisi huuView attachment 3220124
😁😁😁😁 nataka kuwa bwenyenye kidogo Ila nakunywa kwa afya sio unakunywa kama umeletwa dumu la wine 5 litres kutoka viwandani dodomaBro angalia usije lewa, uka ishia kuruka sarakasi huku ume jifunga taulo ukweni🤣😂
kitu pekee kisicho kosa kwangu ni tikiti maji, aisee huwa Naya jaza store😂😁😁😁😁 nataka kuwa bwenyenye kidogo Ila nakunywa kwa afya sio unakunywa kama umeletwa dumu la wine 5 litres kutoka viwandani dodoma
Nitumie lokesheni PM 😁😁...kitu pekee kisicho kosa kwangu ni tikiti maji, aisee huwa Naya jaza store😂
niki pata mchumba, Nita kualika😂🤣Nitumie lokesheni PM 😁😁...