Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,810
- 2,844
Wengine na kina nani Mkuu.. Peke yako ndy msindikizaji???Nimeamini kuna watu wanakula mema ya nchi,wengine tunasindikiza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine na kina nani Mkuu.. Peke yako ndy msindikizaji???Nimeamini kuna watu wanakula mema ya nchi,wengine tunasindikiza tu
Mkuu mkuu unataka kunitunika ajira ubalozini?🤣Unahitajika Ubalozi wa USA haraka.! 😆😂🤣
Wala Jogoo Au HighlifeWala burudani 😀
Nimeangalia vizuri kumbe ni trump😂View attachment 3220125lete ya baridi tushushie na hii
SawaWengine na kina nani Mkuu.. Peke yako ndy msindikizaji???
Thought the same😂Nimi nikafikiri ni Trump, boss kubwa
Wageni wangu wasijue hili chimbo.. Maana watagombania io seat apo 😂kila mtu atataka akae karibu![]()
Hii imekaa poa..
Siku ukileta diamond unishtue mkuu..Huku hakuna kitoko au visungura
Inapaswa unaiweka kwenye chumba maalumu kingine cha kupumzika na maongezi, ukiweka sebuleni hadi watoto watalewa... hahahWageni wangu wasijue hili chimbo.. Maana watagombania io seat apo 😂kila mtu atataka akae karibu