mastori ya townHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Pole sana mama, nacheka sio kwa ubaya ila toka nilipogundua hilo swala la HIV ni uzushi na mtu anaweza kufa kwa namna yeyote ile ila ikasingiziwa HIV basi sikuwahi kuona kwamba ni kitu cha kuogopa. Mbali na hapo kuna maradhi magumu kama cancer na kisukari na kuna watu wanateseka vibaya mno. Niliacha kupima from there on!Huwa napima Mara Kwa mara ikitokea nafasi
Mkuu siku ikipima usithubutu hata kurania humu kuwa hauko sawa utauwa wengi kwa pesha[emoji2][emoji1787][emoji1787]
Hivi kwa nini huwa unaona ni lazima utumie ID nyingine kuniponda?
Tumia ile ile ya siku zote.
Usiogope.
????? mzee tupe xp apooPole sana mama, nacheka sio kwa ubaya ila toka nilipogundua hilo swala la HIV ni uzushi na mtu anaweza kufa kwa namna yeyote ile ila ikasingiziwa HIV basi sikuwahi kuona kwamba ni kitu cha kuogopa. Mbali na hapo kuna maradhi magumu kama cancer na kisukari na kuna watu wanateseka vibaya mno. Niliacha kupima from there on!
Hivi unafahamu kuwa ukipiga sindano ya tetanus kipimo kitasoma HIV positive?
Imemtokea my blood brother nae huwa anapima pima mara kwa mara na kazi zake ni za machuma chuma.????? mzee tupe xp apoo
Muhimu sana.pole mkuu bt hata usihofu kwa sasa HIV ni tatizo la kawaida sana tofauti na makisukari na kansa, ila ka umepima mara1 pekee nakushauri urudie maana sa ingine vipimo hudanganya.
Kweli natumaini umeacha kutaka hela za wanaume kirahisiWatu wanasema tuu, eti ukimwi ni kama malaria lkn kukubaliana na ugonjwa huu sio rahisi kihivyo
Mkuu hongera kwa ujasiri huu, mie nilimuamin mtu akanifanyia ndivyo sivyo, nilikaa mwaka mzima naogopa kupima
Mwezi uliopita nimepima nipo negative, nikamtumia msg pamoja na yote nashukuru hukunipa ukimwi ππππ
Sasa hivi akili imenikaa sawa.
Tusipimane kwa macho
Tumeshawaka kmmmke dah ππππ ata nikilia lia machungu hayaishiiiVile wazee wa kula tunda kimasihara wanatoa mimacho saa hizi!View attachment 1568035
Introverts tupo salama kabisa!Tumeshawaka kmmmke dah [emoji849][emoji16][emoji16][emoji16] ata nikilia lia machungu hayaishiii
Hahaha we mzee wa mizigo siamini kama hujagusa hii mazigo!Introverts tupo salama kabisa!View attachment 1568282
Kweli natumaini umeacha kutaka hela za wanaume kirahisi
Ni dada mwenye upendo na huruma sana.I think mafisi maji walitake advantage ya hiyo tabia na sasa yanatoa macho kama mjusi uliobanwa na mlango wa chuma!Hahaha we mzee wa mizigo siamini kama hujagusa hii mazigo!
hahahahah acha ufalaNi dada mwenye upendo na huruma sana.I think mafisi maji walitake advantage ya hiyo tabia na sasa yanatoa macho kama mjusi uliobanwa na mlango wa chuma!
Kwahio aliwakabidhi malighafi wana wakajibutulia kiroho safi...Maana ule uzi wa kuwa ana genye endlessly uliamsha hisia za mabaharia.πππ waliofanya kweli watakuwa wanaugulia huko waliko πNi dada mwenye upendo na huruma sana.I think mafisi maji walitake advantage ya hiyo tabia na sasa yanatoa macho kama mjusi uliobanwa na mlango wa chuma!
Mzee baba vipi hukutafuna kweli? Maana hii mizigo yenye nyege 4x4 huwaga mziki wake lazma upate kiji friction flani. Kawaua kitaalamu sana πππhahahahah acha ufala
Wazee wa kula tunda kimasihara huko walipo mida hii![emoji16][emoji16][emoji16]Kwahio aliwakabidhi malighafi wana wakajibutulia kiroho safi...Maana ule uzi wa kuwa ana genye endlessly uliamsha hisia za mabaharia.[emoji16][emoji16][emoji16] waliofanya kweli watakuwa wanaugulia huko waliko [emoji41]
ππππππππWazee wa kula tunda kimasihara huko walipo mida hii![emoji16][emoji16][emoji16] View attachment 1568291View attachment 1568293View attachment 1568294View attachment 1568295View attachment 1568296View attachment 1568298View attachment 1568299View attachment 1568300View attachment 1568301