Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongeraIla kiukwel watu weng hawatumii ndomu..amin hilo...mim huu ni mwaka wa 3 si.tomb bila ndom na niko makin sana
Sili de.nda kijinga..nahakikisha sjajichubua na mswak...
Nikishave sit.ombi had zipite siku 4 maana najua ukishave lazima ujikate kdgo hata kama hutoona
Kiufupi mim nina Phd ya kutumia ndomu
I never knew it'll happenwapi mtoa bandiko kasema kula tunda kimasihara ndo chanzo, ingekuwa ivo mbona wengi tungewaka. acha kuhusisha kula tunda kimasihara na haya. Maana mtoa bandiko ana kili alijisahau kumwamini jamaa kumbe kawaka
Na hawa ni wengi zaidi.Nimesoma na watu wamezaliwa nao 21 years na bado hawaumwi. Mi sitoi pole natoa pongezi ya kupima na kujua status yako.
Juzi ijumaa ni wewe ulikuwa pale tips lounge?hakuna mbaya
kikubwa ni kuchukua tahadhari
inawezeka kupata kwa kupitia mmoja uliye nae na ukamwamini
Wala hazitacrash kama unavyofikiri.Na hivi wee in ccm wengine watakubeza tu.Ya kweli haya??
Pata picha siku Ngabu naye anakuja tangaza kuwa ni HIV+ [emoji1].
Servers za JF zita crash kabisa!!
Hii ya mtu anayejua status yake kumwambukiza mwingine sio uuwaji kweli huu?hakuna mbaya
kikubwa ni kuchukua tahadhari
inawezeka kupata kwa kupitia mmoja uliye nae na ukamwamini
Watamlisha kweli minjingu 😎Wazungu washenzi sana...hiyo project yao tumeishtukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo wanataka uwe mteja wao sasa wakununua mbaazi
Duh pagumu ila inategemea, imagine umekuwa na mtu mnakulana for years halafu hajijui kama alikuwa na ngoma. Huwezi mshtaki maana mmekuja kujua very late.Hii ya mtu anayejua status yake kumwambukiza mwingine sio uuwaji kweli huu?