My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Dah we mrembo mjanja sana. Unanifukuza kijanja sio? Mi siogopi wala nini, mtongozo uko palepale.

HIV sio ugonjwa
HIV sio kifo
HIV ni virusi vinavyosababisha upungufu wa kinga mwilini. Usiingiwe na hofu ukikutwa HIV+
Ishi kwa matumaini... kula vizuri, pumzika vya kutosha, mazoezi ya wastani, fuata ushauriwa wataalam wa afya.. Hakika utaushuhudia uzee wako ukiwa na afya yako njema kabisa

Tuko pamoja mrembo wangu,hakuna unyanyapaa wala nini.
Komredi....

Huyu mchuchu kasema yuko positive.

Ila hajasema ni ‘positive’ kwa lipi!

Au labda mimi ndo sijaona alipotaja ni positive kuhusu nini?
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.
[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Are you serious!?
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.
Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.
Usiogope tena .... kuna Dr. mmoja kule instagram.... kwanza
UKIMWI wa sasa ni tofauti na ule wa 1995-2015
Zama zile ilikuwa UKIMWI wa kiume


Allaj atunusuru
 
Ondoa shaka, binadamu wote ni wagonjwa; malaria,mafua, kikohozi, kansa, mapafu,sukari,moyo n.k kwa kufuata taratibu za kiafya na lishe bora zitakufanya ufike miaka 80
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.
Dah....mbinu mpya hiii...dah [emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Kwa nini zicrash?
Una damu ya kutu au?
Pata basi uje utangaze tuone kama zitacrash.
Huyo mwanaCCM ,mademu wa humu walimvuliaga chupi sana kipindi fulani ivi

Sasa Tangia hapo, akawa Jeuri ...

Hapo anaamanisha ivi, kagonga wengi, nao wameenda wamegongana wengine wakagonga wengine walogongwa pia.

Sasa anahisi katakua ni kamsururu.[emoji23]
 
Wewe umepima au una kishujaa kama wangu. Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kea mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom