My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
😂😂 vizuri


That makes the two of us then!

Two trashes! Ngoja nikuwahi kukuweka kwa bin 🚮🚮🚮
You’re too slow!

C868C88F-69F5-4819-9A8F-44AD1012552E.png
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.
Hongera kwa kujitambua, na kuishi positively

Mungu akubariki Sana

Utakua mshauri mzuri Sana kwa watu wengi
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.
Aisee, pole sana Hornet .

Jambo ulilolifanya hapa ni la kijasiri na la kipekee.

Kila la kheri, endelea kupambana na shughuli za kila siku kama ulivyokua ukifanya.Usikate tamaa.
 
Be strong hornet na upime hospital tofauf ili u confirm vipimo vya bongo c unavjua..
 
Ila kiukwel watu weng hawatumii ndomu..amin hilo...mim huu ni mwaka wa 3 si.tomb bila ndom na niko makin sana

Sili de.nda kijinga..nahakikisha sjajichubua na mswak...

Nikishave sit.ombi had zipite siku 4 maana najua ukishave lazima ujikate kdgo hata kama hutoona

Kiufupi mim nina Phd ya kutumia ndomu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom