Wakikushinda niite niongeze nguvu.Huna ustaarabu hata kidogo...huna nasema...usipende kujifanya msafi shit happens...chukua angalizo Basi ..sionkuanza kumnyanyapaa mtu kisa aloweka Uzi zake .khaa grow up
Nafahamu sana kuwa wewe ni mtu wa aina gani lakini hapa ninakushangaa sana kwsni umeshindwa kufuatia mwanzo wa mazungumzo yetu...acha nikusamehe.Someni mlichoandika Kama sio unyanyapaa
Dah yan mie sielewi, nimezika ndugu kibao kwa huu ugonjwa ila nashangaa kuona tunakuwa attacked kama vile its 1980 na Hornet ndio muathirika wa pili.Ni wanafiki tu, Watanzania ndivyo walivyo, ukiwaambia tatizo lako watajifanya wakusikitikia kumbe kinyume chake.
Ugonjwa huu ni wa kawaida tu, kinachoua zaidi ni hofu.
Mi wapi tumemdhihaki?
SaintNafahamu sana kuwa wewe ni mtu wa aina gani lakini hapa ninakushangaa sana kwsni umeshindwa kufuatia mwanzo wa mazungumzo yetu...acha nikusamehe.
Isikupe taabu mkuu, kuna watu hawajambo kujipendekeza japo ni kinafiki tu.Dah yan mie sielewi, nimezika ndugu kibao kwa huu ugonjwa ila nashangaa kuona tunakuwa attacked kama vile its 1980 na Hornet ndio muathirika wa pili.
Tumejaribu kumpa moyo kuwa ugonjwa sio ishu sana na ndio nikawa naelezea kisa changu ila nimegeuka mnyanyapaa tena
Nawaona wababa mnavyo sutana humu.
Nawaona members wanavyo mnyanyapaa mleta mada bila hata aibu....
Nawaona members wanavyo jifanya wasafi na wakamilifu....
Nawaona members wanavyo jitoa ufahamu kana kwamba kwenye familia zao hakuna walio ambukizwa HIV....
Nawaona members wanavyo mhukumu mleta post kana kwamba yeye ndie mtenda dhambi sana.....
Ngoja nikutag ulipomnyanyapaa twende sawa...naona unajitoa ufahamu...angefanya mtu mwingine it's ok Ila sio wwIsikupe taabu mkuu, kuna watu hawajambo kujipendekeza japo ni kinafiki tu.
Siku hizi ugonjwa huu wala sio wa aibu wala kutisha kama awali.Hongera kwa ujasiri wako! Lakini pia now days huu ugonjwa ni kufuata masharti tu..nothing to fear..Natumai utabadili mtizamo wa wengi humu.
Unakuza mambo dada. Nafikiri kwa kufanya hivi utakuwa umetatua tatizoNgoja nikutag ulipomnyanyapaa twende sawa...naona unajitoa ufahamu...angefanya mtu mwingine it's ok Ila sio ww
Hii hapa na Ile ulisema Kuna faulo nyingi blah blah kibao Kuna marafiki zako unajua walipita eish..hebu kuwa mstaarabu ..Hilo gonjwa kila familia imeathirika..Mkuu uliuonaga uzi?
Hivi mnalipwa dollar ngapi kufanya matangazo kama haya, maana mkiona watu wameanza kusahau sahau mnaibuka kuwakumbushiaHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Wapi nimenyooshea kidole?
Unakuza mambo dada. Nafikiri kwa kufanya hivi utakuwa umetatua tatizo
Unakuza mambo dada. Nafikiri kwa kufanya hivi utakuwa umetatua tatizo