amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Wakikushinda niite niongeze nguvu.Huna ustaarabu hata kidogo...huna nasema...usipende kujifanya msafi shit happens...chukua angalizo Basi ..sionkuanza kumnyanyapaa mtu kisa aloweka Uzi zake .khaa grow up
Namimi wakinishinda nitamuita Hannah lakini kwa sasa najua wewe unawamudu.