My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Aahhh acha mkwara ,hamna wa kuumizwa wala nn.


Unajua nipp hivi..nyeupe ni nyeupe ,nyeusi ni nyeusi .

Na huwa nachangia kulingana na kilichopo .

Mtu pekee wakuumizwa niyule ambaye anapenda kusikiliza yale yanayompendelea tu nahao ni aina ya waty wadhaifu sana.


Kwaiyo Mkuu usijitahidi kunichora kama Kijana fulani ivi muumizaji ..


Mengine ni mapungufu ambayo hata wewe unayo na ambayo hayawezi kukuondolea uhalisia wako.


Siku njema.
Hapa umeongea bonge la point kuwa nawe ni mdhaifu tu kama mimi.
Uachaga misifa kupita kiasi[emoji1]
 
Miaka michache iliyopita ulimtusi alipoomba ushauri kuwa anapenda ngono kupita kawaida.
Ungemshauri leo usingesikitika, badala yake ulimbeza.
Ninaposema wabongo wengi ni wanafiki ninamaanisha.
Wote mnajibaraguza humu nimesoma posts zenu za 2017 sijaamini, ushahidi mmoja[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Extrovert
Wangari Maathai View attachment 1568516
Aisee kumbe uko too low namna hii...Mimi nimesema sio vzr kumnyanyapaa mtu as kila familia imepitia hili saga....Mimi hunikut sehem namnyanyapaa mtu kwa Hali yyyt Ile...never. ..yaan hiyo kwangu ni ndogo mno aisee ..! Hebu tafuten njia zingine za kunishika hisia sio hizi za kitoto..too low aisee!pole mno
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Aisee kumbe uko too low namna hii...Mimi nimesema sio vzr kumnyanyapaa mtu as kila familia imepitia hili saga....Mimi hunikut sehem namnyanyapaa mtu kwa Hali yyyt Ile...never. ..yaan hiyo kwangu ni ndogo mno aisee ..! Hebu tafuten njia zingine za kunishika hisia sio hizi za kitoto..too low aisee!pole mno
Nafikiri siku yako iko hovyo sana, hapo nimeku quote ili uone nilichokisema kuhusu watu wengine walivyokuwa wanambeza na sio wewe.
Kama hujaelewa nilichoandika na picha haisomeki?
 
Unaminyana hivi Alafu ukute mtu hana ukimwi au Kama anao Basi Alishaupata mda mrefu
Binafsi Sijaona Muathilika hapa
unataka umuone muathirika then what?

kama haujaona mbona unakomaa na Uzi?

mnanichosha kinyama
 
Nafikiri siku yako iko hovyo sana, hapo nimeku quote ili uone nilichokisema kuhusu watu wengine walivyokuwa wanambeza na sio wewe.
Kama hujaelewa nilichoandika na picha haisomeki?


Hee ..sijawa na siku mbaya...nasubiria marejesho tu hapa natafuna miwa taratiibu..mie nimeona umesema nilitukanwa sijui unapenda ngono..hahaa...bas bwana..uzuri sijaona Mimi tu..kale kacomment ulikofuta nadhan kalikuchoma SEMA unajitia ubabe...All in all haya mambo hayana mwenyewe usijitie usafi...kumbe mwenzako mchafu......Ila sikujua kumbe uko shallow namna hii..poa bye gwiji!
 
Miaka michache iliyopita ulimtusi alipoomba ushauri kuwa anapenda ngono kupita kawaida.
Ungemshauri leo usingesikitika, badala yake ulimbeza.
Ninaposema wabongo wengi ni wanafiki ninamaanisha.
Wote mnajibaraguza humu nimesoma posts zenu za 2017 sijaamini, ushahidi mmoja[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Extrovert
Wangari Maathai View attachment 1568516
Ulitaka amsifie au ampongeze? Alichokifanya ni kumuonya na kumkaripia. We ulitakaje??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom