My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Pole ndugu, leo yetu imejengwa na jana yetu.
Bwana amejaa huruma na neema, si mwepesi wa hasira ni mwingi wa fadhili.
Usikate tamaa ndugu, jipe moyo mkuu ,inuka , songa mbele.
 
Yule dada nimemkuta.
Hips zote zimemuisha.
Wallah nimemuonea imani.
[emoji1787][emoji1787]
eeeh

Hukurudi tena..au bado mpaka sasa hujawamaliza vizuri ? [emoji23][emoji23]
 
Huna ustaarabu hata kidogo...huna nasema...usipende kujifanya msafi shit happens...chukua angalizo Basi ..sionkuanza kumnyanyapaa mtu kisa aloweka Uzi zake .khaa grow up
Hao jamaa washenzi sana, nimewatukana matusi yote kimoyomoyo, hata watoto wadogo hawawez kua na akili hovyo kama hao jamaa
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.

Hornet are you serious?
If yes, naomba na mimi nifanye niwe + kama ww
 
Wewe ni Shujaa, na wee ni mwanamke wakipekee sana.

Nachoweza kuhakikishia, Haupo pekeako humu JF na huko nje ya JF.

Upekee na ubora wako ni ulivoamua kutumia ID YAKO HALISIA kuandika jambo hili.


Nakuhakikishia kwa kufanya ivi ,
[emoji117]Umejilinda wewe mwenyewe

[emoji117]Umewalinda unaowapenda.



WanaJF, nakazia hapaaa

Hornet kwa ukubwa wa umri na akili yake anaposema USIMPIME MTU KWA MACHO ANAAMANISHA.


Msimtazame mtu na kumwamin kwa macho sababu Ana enda Gari, ana nyumba, anavaa vzuri, anakazi, ana kila kitu ambacho kinamfanya aonekane Bora hata kufikia hatua ya kumwachia haki juu yako.

Sio kwamba huyu mdada hajui ninani ?

Anajua sababu ni mtu alokua anapima mara kwa mara toka awali, bahati mbaya alikosea kumwamini mtu ambaye kwa mwonekano namaisha yake yalimfanya aamini mzima.

Nasema ivi kwa sababu HORNET SIO MWANAMKE MALAYA, SIO MWANAMKE WA KWENDA SABABU YA PESA, NI MWANAMKE MHANGAIKAJI WA MAISHA, NA NI MTAFUTAJI WA PESA ZAKE MWENYEWE.


Nihitimishe kwa haya machache

[emoji117]Kama unaakili timamu, utakubaliana na Hornet kua Ujumbe alokusudia kuufikisha ndani ya Jamii hiii hii ya JF ,umefika, mwenye masikio na macho na aone, afahamu na kuchukua Hatua.
 
Wewe ni Shujaa, na wee ni mwanamke wakipekee sana.

Nachoweza kuhakikishia, Haupo pekeako humu JF na huko nje ya JF.

Upekee na ubora wako ni ulivoamua kutumia ID YAKO HALISIA kuandika jambo hili.


Nakuhakikishia kwa kufanya ivi ,
[emoji117]Umejilinda wewe mwenyewe

[emoji117]Umewalinda unaowapenda.



WanaJF, nakazia hapaaa

Hornet kwa ukubwa wa umri na akili yake anaposema USIMPIME MTU KWA MACHO ANAAMANISHA.


Msimtazame mtu na kumwamin kwa macho sababu Ana enda Gari, ana nyumba, anavaa vzuri, anakazi, ana kila kitu ambacho kinamfanya aonekane Bora hata kufikia hatua ya kumwachia haki juu yako.

Sio kwamba huyu mdada hajui ninani ?

Anajua sababu ni mtu alokua anapima mara kwa mara toka awali, bahati mbaya alikosea kumwamini mtu ambaye kwa mwonekano namaisha yake yalimfanya aamini mzima.

Nasema ivi kwa sababu HORNET SIO MWANAMKE MALAYA, SIO MWANAMKE WA KWENDA SABABU YA PESA, NI MWANAMKE MHANGAIKAJI WA MAISHA, NA NI MTAFUTAJI WA PESA ZAKE MWENYEWE.


Nihitimishe kwa haya machache

[emoji117]Kama unaakili timamu, utakubaliana na Hornet kua Ujumbe alokusudia kuufikisha ndani ya Jamii hiii hii ya JF ,umefika, mwenye masikio na macho na aone, afahamu na kuchukua Hatua.
Sahihi kabisa Surgeon wetu..

Ninyi wenyewe huwa mnameza Sana PEP pindipo mnapojikata bahati Mbaya Kipindi Cha kutupasua...

Hebu tupe ushuhuda wako wa mikiki ya mbàazi za mwezi mzima!
 
Mh! Mie nilidhani ukishaonekana una HIV unatakiwa kuanza kutumia ARV hapo hapo? Uliza Hornet kama unatakiwa kuanza kutumia sasa hivi na kama si kuanza matumizi mara moja ni lini unatakiwa uanze kutumia?

Kama umepima sehemu moja tu si vibaya kupima sehemu nyingine mbili tofauti. Niliona documentary moja ya mzungu mwanaume ambaye aliambiwa ni mwathirika na akaanza kutumia dawa mara moja. Furaha yake ikapotea kwani aliishi kwa wasiwasi mkubwa kama nakumbuka vizuri hata kazi aliamua kuacha kazi na kuanza kutumia savings zake.

Baada ya miaka mitano kwenye clinic aliyokuwa akienda kuandikiwa dawa anazotumia doctor akamuomba apime naye akakubali akapima majibu yakawa -VE akamuomba aende sehemu nyingine mbili ili kupima tena ili kuhakikisha yale majibu ni kweli au la. Akaenda kupima sehemu nyingine mbili tofauti na kote majibu yalikuwa ni -VE. Jamaa akaamua kufungua mashtaka dhidi ya Dr na clinic waliyomwambia kwamba ni muathirika sijui kesi yake iliishaje.

Am healthy very fine
Sijaambiwa habari YA dawa
 
Hee ..sijawa na siku mbaya...nasubiria marejesho tu hapa natafuna miwa taratiibu..mie nimeona umesema nilitukanwa sijui unapenda ngono..hahaa...bas bwana..uzuri sijaona Mimi tu..kale kacomment ulikofuta nadhan kalikuchoma SEMA unajitia ubabe...All in all haya mambo hayana mwenyewe usijitie usafi...kumbe mwenzako mchafu......Ila sikujua kumbe uko shallow namna hii..poa bye gwiji!
hiyo sentence ya mwisho ..[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mh! Mie nilidhani ukishaonekana una HIV unatakiwa kuanza kutumia ARV hapo hapo? Uliza Hornet kama unatakiwa kuanza kutumia sasa hivi na kama si kuanza matumizi mara moja ni lini unatakiwa uanze kutumia?

Kama umepima sehemu moja tu si vibaya kupima sehemu nyingine mbili tofauti. Niliona documentary moja ya mzungu mwanaume ambaye aliambiwa ni mwathirika na akaanza kutumia dawa mara moja. Furaha yake ikapotea kwani aliishi kwa wasiwasi mkubwa kama nakumbuka vizuri hata kazi aliamua kuacha kazi na kuanza kutumia savings zake.

Baada ya miaka mitano kwenye clinic aliyokuwa akienda kuandikiwa dawa anazotumia doctor akamuomba apime naye akakubali akapima majibu yakawa -VE akamuomba aende sehemu nyingine mbili ili kupima tena ili kuhakikisha yale majibu ni kweli au la. Akaenda kupima sehemu nyingine mbili tofauti na kote majibu yalikuwa ni -VE. Jamaa akaamua kufungua mashtaka dhidi ya Dr na clinic waliyomwambia kwamba ni muathirika sijui kesi yake iliishaje.
yaap nitakwenda kesho
government maybe
 
Hao jamaa washenzi sana, nimewatukana matusi yote kimoyomoyo, hata watoto wadogo hawawez kua na akili hovyo kama hao jamaa
Hee...bas kaaanza kutafutiza viishu na mm vya miaka ..na huku ilikua easy tu akubali yaishe. We mwanaume wa 2kuona unyanyapaa..HAIWEZEKANI mtu akuambie hivi ule wa hornet "ulizamaga pm"?? Kwamba mdau alikua ana kiu Sana au alikua anatafuta bwana. Eish. .watu bwana!
Alafu anadai tunaunafiki. Atafute comment yyt Ile niyowah mnyanyapaa magonjwa yyt Mimi wa gonjwa lolote lile...mie najitukaniaga jukwaa pendwa la Siasa...lakini kwingine nafeel pain mno mno...
Yaishe jombaa tunaharibu uzi
 
Hao jamaa washenzi sana, nimewatukana matusi yote kimoyomoyo, hata watoto wadogo hawawez kua na akili hovyo kama hao jamaa
Hee...bas kaaanza kutafutiza viishu na mm vya miaka ..na huku ilikua easy tu akubali yaishe. We mwanaume wa 2kuona unyanyapaa..HAIWEZEKANI mtu akuambie hivi ule wa hornet "ulizamaga pm"?? Kwamba mdau alikua ana kiu Sana au alikua anatafuta bwana. Eish. .watu bwana!
Alafu anadai tunaunafiki. Atafute comment yyt Ile niyowah mnyanyapaa magonjwa yyt Mimi wa gonjwa lolote lile...mie najitukaniaga jukwaa pendwa la Siasa...lakini kwingine nafeel pain mno mno...
Yaishe jombaa tunaharibu uzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom