My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Hapa umeongea bonge la point kuwa nawe ni mdhaifu tu kama mimi.
Uachaga misifa kupita kiasi[emoji1]
 
Aisee kumbe uko too low namna hii...Mimi nimesema sio vzr kumnyanyapaa mtu as kila familia imepitia hili saga....Mimi hunikut sehem namnyanyapaa mtu kwa Hali yyyt Ile...never. ..yaan hiyo kwangu ni ndogo mno aisee ..! Hebu tafuten njia zingine za kunishika hisia sio hizi za kitoto..too low aisee!pole mno
 
Reactions: BAK
Nafikiri siku yako iko hovyo sana, hapo nimeku quote ili uone nilichokisema kuhusu watu wengine walivyokuwa wanambeza na sio wewe.
Kama hujaelewa nilichoandika na picha haisomeki?
 
Unaminyana hivi Alafu ukute mtu hana ukimwi au Kama anao Basi Alishaupata mda mrefu
Binafsi Sijaona Muathilika hapa
unataka umuone muathirika then what?

kama haujaona mbona unakomaa na Uzi?

mnanichosha kinyama
 
Nafikiri siku yako iko hovyo sana, hapo nimeku quote ili uone nilichokisema kuhusu watu wengine walivyokuwa wanambeza na sio wewe.
Kama hujaelewa nilichoandika na picha haisomeki?


Hee ..sijawa na siku mbaya...nasubiria marejesho tu hapa natafuna miwa taratiibu..mie nimeona umesema nilitukanwa sijui unapenda ngono..hahaa...bas bwana..uzuri sijaona Mimi tu..kale kacomment ulikofuta nadhan kalikuchoma SEMA unajitia ubabe...All in all haya mambo hayana mwenyewe usijitie usafi...kumbe mwenzako mchafu......Ila sikujua kumbe uko shallow namna hii..poa bye gwiji!
 
Ulitaka amsifie au ampongeze? Alichokifanya ni kumuonya na kumkaripia. We ulitakaje??
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…