Hapa umeongea bonge la point kuwa nawe ni mdhaifu tu kama mimi.Aahhh acha mkwara ,hamna wa kuumizwa wala nn.
Unajua nipp hivi..nyeupe ni nyeupe ,nyeusi ni nyeusi .
Na huwa nachangia kulingana na kilichopo .
Mtu pekee wakuumizwa niyule ambaye anapenda kusikiliza yale yanayompendelea tu nahao ni aina ya waty wadhaifu sana.
Kwaiyo Mkuu usijitahidi kunichora kama Kijana fulani ivi muumizaji ..
Mengine ni mapungufu ambayo hata wewe unayo na ambayo hayawezi kukuondolea uhalisia wako.
Siku njema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumuache bwana tunampunguzia Credit KWA pisi anazofukuzia PM
Mnaumwa nyinyiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumuache bwana tunampunguzia Credit KWA pisi anazofukuzia PM
MaweeeHawezi kukuacha babe wake.
Lazima agandane hapa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ana mapenzi ya dhati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah kubabakeHapa umeongea bonge la point kuwa nawe ni mdhaifu tu kama mimi.
Uachaga misifa kupita kiasi[emoji1]
We nae hiyo ni kama homa tu....mimi sijawahi kabisa kutishika na hako kagonjwa,cha kawaida mnoooNaumwa mie
Amu bado
Aisee kumbe uko too low namna hii...Mimi nimesema sio vzr kumnyanyapaa mtu as kila familia imepitia hili saga....Mimi hunikut sehem namnyanyapaa mtu kwa Hali yyyt Ile...never. ..yaan hiyo kwangu ni ndogo mno aisee ..! Hebu tafuten njia zingine za kunishika hisia sio hizi za kitoto..too low aisee!pole mnoMiaka michache iliyopita ulimtusi alipoomba ushauri kuwa anapenda ngono kupita kawaida.
Ungemshauri leo usingesikitika, badala yake ulimbeza.
Ninaposema wabongo wengi ni wanafiki ninamaanisha.
Wote mnajibaraguza humu nimesoma posts zenu za 2017 sijaamini, ushahidi mmoja[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Extrovert
Wangari Maathai View attachment 1568516
Nafikiri siku yako iko hovyo sana, hapo nimeku quote ili uone nilichokisema kuhusu watu wengine walivyokuwa wanambeza na sio wewe.Aisee kumbe uko too low namna hii...Mimi nimesema sio vzr kumnyanyapaa mtu as kila familia imepitia hili saga....Mimi hunikut sehem namnyanyapaa mtu kwa Hali yyyt Ile...never. ..yaan hiyo kwangu ni ndogo mno aisee ..! Hebu tafuten njia zingine za kunishika hisia sio hizi za kitoto..too low aisee!pole mno
Alisikika mwenyekiti wa wazee wa kula tunda kimasihara katika kikao chao kilichofanyika leo huko coco beach kujadili ishu nyeti ya Hornet!We nae hiyo ni kama homa tu....mimi sijawahi kabisa kutishika na hako kagonjwa,cha kawaida mnooo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]fala sana wewAlisikika mwenyekiti wa wazee wa kula tunda kimasihara katika kikao chao kilichofanyika leo huko coco beach kujadili ishu nyeti ya Hornet!
Nafikiri siku yako iko hovyo sana, hapo nimeku quote ili uone nilichokisema kuhusu watu wengine walivyokuwa wanambeza na sio wewe.
Kama hujaelewa nilichoandika na picha haisomeki?
Ulitaka amsifie au ampongeze? Alichokifanya ni kumuonya na kumkaripia. We ulitakaje??Miaka michache iliyopita ulimtusi alipoomba ushauri kuwa anapenda ngono kupita kawaida.
Ungemshauri leo usingesikitika, badala yake ulimbeza.
Ninaposema wabongo wengi ni wanafiki ninamaanisha.
Wote mnajibaraguza humu nimesoma posts zenu za 2017 sijaamini, ushahidi mmoja[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Extrovert
Wangari Maathai View attachment 1568516
Na kabla ya kwenda kupima ulishapata hali yoyote ya kutatanisha yaani zile dalili za mwanzo za HIV?Huwa napima Mara Kwa mara ikitokea nafasi
π π π π πhuwa zinakujaga na ban, picha, screenshot za piemu n.k.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Chief kuna thread ya Sister hapa naoma umerushwa sana mule. Hadi nikaonea wivu daah, acha niishie hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole ya nin mkuu?