My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Wengi ni HIV+ positive humu mtaani na humu jukwaani sema tumekosa huruma kwa wenzetu kwa kutaka kuwakatisha tiketi ya kwenda nao kwenye meli ya MV BUKOBA.
 
Wewe upo kila jukwaa na hadithi zako za kusadikika, mara nimekitana na mkaka Mwendokasi nimempenda mara kila saa nnasikia ham ya kuliwa mara nimepima kwendraaa kifaduro
why bothered?
 
Navyowajua mabaharia watakuambia haya maneno tu hata kwenye kanga yapo....
Wataomba game kama kawa
wengi hawaamini na wanaendelea kupima kwa macho
 
Nakupongeza kaka.
 
BADO HAMU YA KUFANYA MAPENZI KUPITILIZA UNAYO?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…