My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Watu wanasema tuu, eti ukimwi ni kama malaria lkn kukubaliana na ugonjwa huu sio rahisi kihivyo
Mkuu hongera kwa ujasiri huu, mie nilimuamin mtu akanifanyia ndivyo sivyo, nilikaa mwaka mzima naogopa kupima

Mwezi uliopita nimepima nipo negative, nikamtumia msg pamoja na yote nashukuru hukunipa ukimwi 😃😃😃😃
Sasa hivi akili imenikaa sawa.
Tusipimane kwa macho
 
Siyo rahisi kukubaliana nao kiukweli
 
You are amazing!,
 
Tuone vipimo mkuu maana nami leo nimepimwa kwalazima
 
Pole ya nini mkuu?

Mi nilitegemea ungempa hongera ya kupata ujasiri wa kwenda kupima na kuyakubali matokeo.

Wengi watampa pole wakati wao hawajapima. Waweza kukuta unampa pole mwenye afadhali zaidi yako
Basi ngoja nimpe hongeraa mkuu...

Hongera shemeji Hornet kwa kupatukana na ngwengwe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…