***** mkuu mi mwanaume acha ufala wa kikenge..
Shame upon you
AJiite kenzy gentleHahahhahaha jamani, mkuu kama nakuona ulivyokasirika
Am healthy very fine
Sijaambiwa habari YA dawa
Siyo rahisi kukubaliana nao kiukweliWatu wanasema tuu, eti ukimwi ni kama malaria lkn kukubaliana na ugonjwa huu sio rahisi kihivyo
Mkuu hongera kwa ujasiri huu, mie nilimuamin mtu akanifanyia ndivyo sivyo, nilikaa mwaka mzima naogopa kupima
Mwezi uliopita nimepima nipo negative, nikamtumia msg pamoja na yote nashukuru hukunipa ukimwi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sasa hivi akili imenikaa sawa.
Tusipimane kwa macho
Atakojozwaa tu hata kwa kutumia mamipiraa[emoji16][emoji16]Lol Kukojozwaaaaa! Jamani Dahh! No Matter What Life Continues ! Cc Smart911
You are amazing!,Habari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Tuone vipimo mkuu maana nami leo nimepimwa kwalazimaHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Pole ya nini mkuu?Pole sanaa
Najuta sijatoka na dikshenare yangu leo...I am so sorry this happened to you.
Thank you for sharing, you are very brave sweetheart.
Take care of yourself.
Watu wengine Kama mambung'o tu Bata kabisa..Hahahhahaha jamani, mkuu kama nakuona ulivyokasirika
Basi ngoja nimpe hongeraa mkuu...Pole ya nini mkuu?
Mi nilitegemea ungempa hongera ya kupata ujasiri wa kwenda kupima na kuyakubali matokeo.
Wengi watampa pole wakati wao hawajapima. Waweza kukuta unampa pole mwenye afadhali zaidi yako