Wewe umepima au una ushujaa kama wangu? Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kwa mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...Kwanza naomba nikupongeze, na mwisho naomba nikutie moyo kwamba kuambukizwa HIV sio kifo.
Astaghafirulilah... unatumia K Vant au Konyagi?
Hahahaa mimi nilipima kama mwezi hivi umepitaa kwa kulazimishwa na wife..aisee zile dk za kusubiri maajibu zilikua ndefu mnoo,wife akaniambia mbona hutulii unajua madhambi yako sioWewe umepima au una kishujaa kama wangu. Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kea mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...
Sasa hivi nimejiwekea kautaratibu kakupima kila mwezii...nimehamia kwenye grants siku hizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Astaghafirulilah... unatumia K Vant au Konyagi?
Wewe ushapima lakini nawe tukupongeze?
Mimi kupima nlishasemaga labda nishikiwe mtutu wa bunduki ya kivita.
Ni lazima siku hizi...akienda clinic lazimaa akamlete mumewe wote mpimwe, nilijaribu kumpanga akaseme mumewe yupo nje ya nchi akagoma[emoji1787]Wife wako ni gaidi? Ilikuwaje ukakubali? Alikuwa kajifunga mabomu?
Mkuu fuata masharti na ushauri wa wataalam maisha yaendelee.Habari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
[emoji23][emoji23][emoji848][emoji848][emoji23]Lakini naona kama kuna watu humu wameanza kutetemeka...[emoji41][emoji41]
***** mkuu mi mwanaume acha ufala wa kikenge..
HIV, ninaye jamaa yangu ana zaidi ya 25 yrs since he was first diagnosed with HIV. Nowadays it is no longer a threat as long as you don't smoke and drink and keep on using the protection during "kale kamchezo" while using ARV drugs.
Kuna watu nchi hii wanataka kutuharibia; wanawaita hao wanaotengeneza ARV drugs: Mabeberu, siku wakigoma kuleta hizo dawa, tumekwisha.
We Bata naona unanitafutia ban na nipo radhi kuipata kamongo mkubwa.Punguza kuandika kama mwanamke.
Umeyataka mwenyewe!
We Bata naona unanitafutia ban na nipo radhi kuipata kamongo mkubwa.
Mi wa kwangu alilazimika kuwaambia niko nje ya nchi. Sinaga masihara kwenye mambo hayaNi lazima siku hizi...akienda clinic lazimaa akamlete mumewe wote mpimwe, nilijaribu kumpanga akaseme mumewe yupo nje ya nchi akagoma[emoji1787]
Nishamfukuza sipendi ujinga mieChukua tahadhari tumia kinga