My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Kwanza naomba nikupongeze, na mwisho naomba nikutie moyo kwamba kuambukizwa HIV sio kifo.
Wewe umepima au una ushujaa kama wangu? Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kwa mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...
 
Wewe umepima au una kishujaa kama wangu. Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kea mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...
Hahahaa mimi nilipima kama mwezi hivi umepitaa kwa kulazimishwa na wife..aisee zile dk za kusubiri maajibu zilikua ndefu mnoo,wife akaniambia mbona hutulii unajua madhambi yako sio
 
Astaghafirulilah... unatumia K Vant au Konyagi?

Wewe ushapima lakini nawe tukupongeze?

Mimi kupima nlishasemaga labda nishikiwe mtutu wa bunduki ya kivita.
Sasa hivi nimejiwekea kautaratibu kakupima kila mwezii...nimehamia kwenye grants siku hizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.
Mkuu fuata masharti na ushauri wa wataalam maisha yaendelee.

Punguza masuala ya tunda kimasihara
 
HIV, ninaye jamaa yangu ana zaidi ya 25 yrs since he was first diagnosed with HIV. Nowadays it is no longer a threat as long as you don't smoke and drink and keep on using the protection during "kale kamchezo" while using ARV drugs.

Kuna watu nchi hii wanataka kutuharibia; wanawaita hao wanaotengeneza ARV drugs: Mabeberu, siku wakigoma kuleta hizo dawa, tumekwisha.

Beberu siyo tusi. Ni sifa njema!
 
Pole saana muhimu umesema Maisha yanaendelea hiyo ni hatua kubwa Sana umefikia.
Zingatia saana ushauri wa wahudumu wa afya utaishi Maisha ya kawaida kabisa.
Usilaumu Wala kunyoosha kidole kwa yeyote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom