Sijambo mkuu, za kuadimika...Mtakahela hujambo???
Ooh asante mpenzi...sister anatakiwa kurelax na kumshirikisha Mungu kwenye pito hili@Joannah, avatar yako nimeipenda, lakini pia nimeupenda ushauri uliompa Hornet
Vile wazee wa kula tunda kimasihara wanatoa mimacho saa hizi!Nawaona wazee wa kula tunda kimasihara na wale wote waliokuletea shobo hapa jamvini, wakipita kimya kimya bila kucommet chochote.... Pole sana mkuu yote ni maisha kikubwa uhai
Rafiki kuanzia leo NABADILI TABIA!Kuqa positive sio mwisho wa maisha
Songa mbele...
"Google translator " imesema nini Asprin?.Najuta sijatoka na dikshenare yangu leo...
Google translator inanidanganyaga sana
Ni kweli kabisa dear, ni mapito tu ya duniaOoh asante mpenzi...sister anatakiwa kurelax na kumshirikisha Mungu kwenye pito hili
Daah pole sanaHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Yaani!hata uandishi tu unaweza kukufanya ujue userious wa jambo lenyewe jamani
wapi mtoa bandiko kasema kula tunda kimasihara ndo chanzo, ingekuwa ivo mbona wengi tungewaka. acha kuhusisha kula tunda kimasihara na haya. Maana mtoa bandiko ana kili alijisahau kumwamini jamaa kumbe kawakaNawaona wazee wa kula tunda kimasihara na wale wote waliokuletea shobo hapa jamvini, wakipita kimya kimya bila kucommet chochote.... Pole sana mkuu yote ni maisha kikubwa uhai
Okay.Hamna kitu hapo!
But positive for what?Habari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
😂😂Lakini naona kama kuna watu humu wameanza kutetemeka...[emoji41][emoji41]