ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Lakini ni ngumu kukubali hali, kuwa positive inaweza isiwe issue, issue ni unachukuliaje hali hiyo, saikolojia zaidi inahusika.Kuqa positive sio mwisho wa maisha
Songa mbele...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ni ngumu kukubali hali, kuwa positive inaweza isiwe issue, issue ni unachukuliaje hali hiyo, saikolojia zaidi inahusika.Kuqa positive sio mwisho wa maisha
Songa mbele...
Mimi nilikua nasema hivo hivo, yamenikuta leo wakanipima kwa lazima. Nimewakwepa leo nimepatikana Asee Mungu mwema niko safiWewe umepima au una kishujaa kama wangu. Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kea mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...
Watu wengine Kama mambung'o tu Bata kabisa..
Si ulikuwa unataka hela? Alitaka kukupa na nyongeza.Watu wanasema tuu, eti ukimwi ni kama malaria lkn kukubaliana na ugonjwa huu sio rahisi kihivyo
Mkuu hongera kwa ujasiri huu, mie nilimuamin mtu akanifanyia ndivyo sivyo, nilikaa mwaka mzima naogopa kupima
Mwezi uliopita nimepima nipo negative, nikamtumia msg pamoja na yote nashukuru hukunipa ukimwi 😃😃😃😃
Sasa hivi akili imenikaa sawa.
Tusipimane kwa macho
Kaka hii avatar yako huu mdomo nauonaga kwa mkaka mmoja pale DHL airport.Aisee pole sana
Hii nyongeza nimeikataaSi ulikuwa unataka hela? Alitaka kukupa na nyongeza.
Yeah mwanzo huwa hivyo, lkn baada ya muda unakua normal kabisaSiyo rahisi kukubaliana nao kiukweli
Vipi, si bado unataka hela pisi kali nikupe?Hii nyongeza nimeikataa
Hela naitaka lkn HAPANAVipi, si bado unataka hela pisi kali nikupe?
Yaani ID yako inaelezea uhalisia wako.
Me siamini km hornet anao.nahic ametuchapia tuYaani ID yako inaelezea uhalisia wako.
Mtakahela hujambo???Anataka kutuongezea idadi ya mapunga mjini😂😂😂
@Joannah, avatar yako nimeipenda, lakini pia nimeupenda ushauri uliompa HornetFanya ibada,ishi maisha yako to the fullest,protect others itakupa amani na furaha...
Sio Kila kitu huwa ni masikhara,Kuna nyakati mtu anahitaji faraja..haikugharimu chochote kuwa farajaMe siamini km hornet anao.nahic ametuchapia tu