tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 64
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
GS...Umesema kitu cha maana.Kupenda kunatofautiana baina ya mtu na mtu.Kuna kupenda umuonapo mtu mara moja..Love at first sight; Kuna kupenda kunakotokana na mchakato fulani - huku huja pole pole..... kuna ulafi/matamanio ya muda mfupi..infatuation - haya ni mapenzi ya nguvu ya soda na utafanya makosa sana kuoana na mtu ukiwa umekumbwa na penzi hili utajuta sana.
Mapenzi huweza kuishia kwenye ndoa au kuisha tu bila ndoa.Kama nia ni ndoa basi mtu nadhani huna budi uwe na vipimo vya yule unayetaka kuishi naye maisha yako yote.Kuanzia tabia za mtu, na hulka nyingine.Tabia ni kitu muhimu sana maana kama mtu ana tabia zisizokubalika kama malaria ujue mwisho wake ni mbaya.
Huyu Bibie Tausi, japo kaja na mada yenye mzaha ndani yake, huenda ana kitu anataka kutufundisha.Hebu tuendelee kusoma labda tutakielewa.Namtakia kila la kheri kwenye zoezi hili la kujipatia mwenza wa maisha.
and why wouldnt they....????
if they see is for somebodys' interests ofcoz...!
yes,there are people outhere who 'cares' that much!....
:target:LOLmambo ya utandawazi mwaya ajue kabisaa mpango ni upi LOL,kutojitangaza ndio maana tunapukutika na ukimwi dear....LOL
Nina bosi wangu hapa mtasha anazo! ila ukimpata itabidi nami unijali kiutu uzima....
Haya sasa,
Tausi karibu jamvini,hii mada ntachangia muda mwingine
Ila una vituko,yaani unataka kufanya game ya Tendwa na CCJ tena.nimecheka kweli
@Roselyine,naona unakomaa kweli.itifaki
Napenda...... kinyume cha yote nisiyopenda mbona simpo!Sasa wewe yote Sipendi Sipendi..with this attitude mmmhhh utafika kweli? Sema unapenda nini?
Hivi naombeni kuuliza wajameni..Kupenda mtu anaamua au hutokea tu bila mtu kupanga wala kujijua? na hivi ikitokea uliyempenda anapendwa na wanawake/wanaume wengi unaacha kumpenda huta pambana ili awe wako?
GS...Umesema kitu cha maana.Kupenda kunatofautiana baina ya mtu na mtu.Kuna kupenda umuonapo mtu mara moja..Love at first sight; Kuna kupenda kunakotokana na mchakato fulani - huku huja pole pole..... kuna ulafi/matamanio ya muda mfupi..infatuation - haya ni mapenzi ya nguvu ya soda na utafanya makosa sana kuoana na mtu ukiwa umekumbwa na penzi hili utajuta sana.
Mapenzi huweza kuishia kwenye ndoa au kuisha tu bila ndoa.Kama nia ni ndoa basi mtu nadhani huna budi uwe na vipimo vya yule unayetaka kuishi naye maisha yako yote.Kuanzia tabia za mtu, na hulka nyingine.Tabia ni kitu muhimu sana maana kama mtu ana tabia zisizokubalika kama malaria ujue mwisho wake ni mbaya.
Huyu Bibie Tausi, japo kaja na mada yenye mzaha ndani yake, huenda ana kitu anataka kutufundisha.Hebu tuendelee kusoma labda tutakielewa.Namtakia kila la kheri kwenye zoezi hili la kujipatia mwenza wa maisha.
Hebu na wewe tuambie ukoje. Labda unaweza kunikonvisi nimpige chini mai waifu wangu na wasaidizi wake watatu.
kumbe dada Tausi bado uko single ? all ze best
Weka picha na CV yako
Leta shahidi moja kutoka kila mkoa wa TZ bara kukuunga mkono
AND THE WINNER ISSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS!!!!!!!!!...........................................
Kaa chonjo.... jibu laja
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)