My dream man!! Je wewe kaka una sifa hizi?

My dream man!! Je wewe kaka una sifa hizi?

Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)

Nina bosi wangu hapa mtasha anazo! ila ukimpata itabidi nami unijali kiutu uzima....
 
GS...Umesema kitu cha maana.Kupenda kunatofautiana baina ya mtu na mtu.Kuna kupenda umuonapo mtu mara moja..Love at first sight; Kuna kupenda kunakotokana na mchakato fulani - huku huja pole pole..... kuna ulafi/matamanio ya muda mfupi..infatuation - haya ni mapenzi ya nguvu ya soda na utafanya makosa sana kuoana na mtu ukiwa umekumbwa na penzi hili utajuta sana.

Mapenzi huweza kuishia kwenye ndoa au kuisha tu bila ndoa.Kama nia ni ndoa basi mtu nadhani huna budi uwe na vipimo vya yule unayetaka kuishi naye maisha yako yote.Kuanzia tabia za mtu, na hulka nyingine.Tabia ni kitu muhimu sana maana kama mtu ana tabia zisizokubalika kama malaria ujue mwisho wake ni mbaya.

Huyu Bibie Tausi, japo kaja na mada yenye mzaha ndani yake, huenda ana kitu anataka kutufundisha.Hebu tuendelee kusoma labda tutakielewa.Namtakia kila la kheri kwenye zoezi hili la kujipatia mwenza wa maisha.

Umenikuna kweli kweli....
 
Haya sasa,

Tausi karibu jamvini,hii mada ntachangia muda mwingine

Ila una vituko,yaani unataka kufanya game ya Tendwa na CCJ tena.nimecheka kweli

@Roselyine,naona unakomaa kweli.itifaki
 
Haya sasa,

Tausi karibu jamvini,hii mada ntachangia muda mwingine

Ila una vituko,yaani unataka kufanya game ya Tendwa na CCJ tena.nimecheka kweli

@Roselyine,naona unakomaa kweli.itifaki

Ben my friend..... sitanii........im damned serious Oh! OGAHHHHH!
 
Sasa wewe yote Sipendi Sipendi..with this attitude mmmhhh utafika kweli? Sema unapenda nini?
 
Hivi naombeni kuuliza wajameni..Kupenda mtu anaamua au hutokea tu bila mtu kupanga wala kujijua? na hivi ikitokea uliyempenda anapendwa na wanawake/wanaume wengi unaacha kumpenda huta pambana ili awe wako?

Ndo hapo sasa, maana nacho jua love ni kitu ambacho hutokea bila kupigiwa mahesabu. Sijui siku hizi mambo yakoje lakini naamini watu wengi waliodhani love ni magari ya kifahari, au ni mtu asiyegombaniwa na watu wengine au ni any material things nje ya feelings, wamejikuta kwenye wakati mgumu maana siku ukikutana na mtu ambaye unamsikia toka moyoni, yale uliyoyafanya inakuwa rahisi kuyasaliti. Lakini kwako kila la kheri!!! Ingelikuwa ni mimi, nisingelifanya chochote mpaka nikuone mtu mwenyewe kama una meet matarajio yangu...siwezi kufanya kosa la kupenda online,halafu siku ya siku nikalia mwenyewe kufanya makosa yanayoepukika.
 
GS...Umesema kitu cha maana.Kupenda kunatofautiana baina ya mtu na mtu.Kuna kupenda umuonapo mtu mara moja..Love at first sight; Kuna kupenda kunakotokana na mchakato fulani - huku huja pole pole..... kuna ulafi/matamanio ya muda mfupi..infatuation - haya ni mapenzi ya nguvu ya soda na utafanya makosa sana kuoana na mtu ukiwa umekumbwa na penzi hili utajuta sana.

Mapenzi huweza kuishia kwenye ndoa au kuisha tu bila ndoa.Kama nia ni ndoa basi mtu nadhani huna budi uwe na vipimo vya yule unayetaka kuishi naye maisha yako yote.Kuanzia tabia za mtu, na hulka nyingine.Tabia ni kitu muhimu sana maana kama mtu ana tabia zisizokubalika kama malaria ujue mwisho wake ni mbaya.

Huyu Bibie Tausi, japo kaja na mada yenye mzaha ndani yake, huenda ana kitu anataka kutufundisha.Hebu tuendelee kusoma labda tutakielewa.Namtakia kila la kheri kwenye zoezi hili la kujipatia mwenza wa maisha.

Wapi mamaa WOS?
Nimekukubali dada.... imetulia kabisa hii...

Nitakuomba uwe Maid of Honor kwenye harusi yangu mamaa!

Niaku PM unipe mbinu na mikakati zaidi ya kufanikisha azma yangu.
PLS DONT SAY NO PLLLLLZZZZZZ
 
Kazi kwelikweli. Nina sifa zote lakini sijui sifa zao sijui utanisaidiaje. Pia nina tatizo na mbunye kwasababu ninazipata kwa shida sana zote zinazojileta huwa siziachii kabisa; sasa kwahiyo sijui kama nitachomoka kabla ya kupekenyua vu$i. Je! hili utaridhia?
 
kumbe dada Tausi bado uko single ? all ze best

Duh,sijui nikirudi Tz nikuletee zawadi gani. . .
Dada hukawii kujiridhisha kwamba kama yuko single.Last time uliulizia hivi , nijipatia mchumba kwenye ile thread . .
 
AND THE WINNER ISSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS!!!!!!!!!...........................................

Kaa chonjo.... jibu laja
 
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)

hakuna mwamme kama huyo.
 
Back
Top Bottom