My Experience with a Fake Female ID apa JF

Watu wanajifanya wanatukana kunikatisha tamaa......Tena katika wanaotukana kuna mmoja alinitumia picha na boxer lake ....Subirini tu
Hahhahahaaaa uwiiiiiii leo ni shiiiidah
Hapa naandaa coffee kabisa,sio kwa ubuyu huu.
 
Ahhhhhhhh!!!...... Mbona tayari ulikuwa umeshaingia line kule PM jamani, sasa hivi umegeuza jinsia tena???..... Haya mambo ya kubadilishia gear angani siyo issue kabisa!...... Mimi nakutaka hivyo hivyo hata kama ni wa kiume kwani nimeshakupenda!
 
Mnanyweshwa chai kizobazoba tu na maGreat Sinkers mchana wa jua kali la SAA 7....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ila mood nao wapunguze kutokea mademu za humu....wakuu tunawasomaga huku mtaani mnavyotokea mabinti wa humu....mkikutana watu wenye akili mbaya kama huyu jamaa mtakuja anikwa one day....wengine sisi wasitarab tunaoneshwa tunaishia kucheka na kuendelea na mishe mishe za kila siku.
Ukiwa kiongozi kuna vitu automaticaly itabid ujinyime tu.....naongea kama mlevi kisha nalala mbeleeee
 
Sidhani kama mods watakuacha, tena unaweza ukala BAN kadhaa, moja wa privacy ya watu kuiweka hadharani na pili kwa kuwa na id zaidi ya moja na kukiri kuwa unayo.
Juzi mi nilitoka kifungoni, siku hizi napigwa ban hataree, sijui hawa mods wapya vipi! Nikamiss kuchangia humu nikasema ngoja nifungue id nyingine na maksudi nikaiita @id_nyingine, ila wakagoma kuo-confirm na kuipa go ahead.
 
Looooh!!!...... Nilikuwa namtaka sana Jimena kule PM ila sasa hivi sina furahaa tena kwani sina uhakika tena kama ni ke!!.....this thread had disappointed me very much![emoji17]
Imekuwa heri mkuu, maana PM sio dili
 
Broo wee unaheshimika sana humu na jamaa kasema kuna watu na heshima zao humu wamemrushia ndoano!
Ila binafsi sioni cha ajabu, kama alijiweka kama mwanamke lazima atongozwe na midume ya mbegu.

Mi bado siiamini kabisa stori ya huyo jamaa.
 
Pole sana, nahisi jina jipya pia lilikuangusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…