My Experience with a Fake Female ID apa JF

My Experience with a Fake Female ID apa JF

Taja wote ila usithubuthu kunitaja aisee.......! Balaaaa lng kubwa kuliko la Jecha!
 
Taja wote ila usithubuthu kunitaja aisee.......! Balaaaa lng kubwa kuliko la Jecha!
 
Teh teh teh....

Ni rahisi sana kuwachota watu humu kwa sensationalism!

Sasa subiri uone...akirudi tena na kutaja mtu au watu bila hata ya ushahidi wa kutosha utaona reaction ya watu.

People are getting excited over nothing.

I had a sneaking suspicion he/she was pulling some leg the moment I saw the thread.

He/she was just bluffing. There's no there there!

But, just to save face, don't be surprised if he/she comes up with a [fake] list of names claiming they were the ones who hit on him.
Fix zina miiko yake
Zikizidi zinaboa.......
 
Vipi, washatajwa hao watu?😀😀
Ni fix tu zile
Nilishazishtukia

K 4 LIFE alitisha kwa fix sasa hivi washamchongea ...thread zake zinatupwa tu Jokes forum
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Miaka 3 hapa jf mtu pekee niliyewahi kumtumia PM ni Lara 1. Nina hakika sipo kwenye list ya Vampire.

Duc in Altum
 
Siku nyingine utatafunwa kweli, mambo ya kujifanya mchuchu wakati dume.
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
 
mtupie paka huyu hakufahamu
1459860291288.jpg
 
Ni fix tu zile
Nilishazishtukia

K 4 LIFE alitisha kwa fix sasa hivi washamchongea ...thread zake zinatupwa tu Jokes forum
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yule jamaa kwa fix hawezekani. Hachelewi kusema kakutana na Lusifa
 
Daaaah,broda ina maana ya huyo jamaa yalikupita?
Sio mbaya,take it from me,ndivyo ilivyokuwa.

Naam,nami nikiwemo
Nikiamua kuchunguza jambo halinishindi aiseee.
Nifa ukipata list na mie nataka huo ubuyu kwa pm lol
 
ha ha ha ha ndio maana sijathubutu kumtongoza mtu hapa JF hii kitu nilishaidhania so...watumbue tujuana kiongozi
 
Ndugu Watanzania wenzangu,

Badae nikipata muda nitatoa ushuhuda kuhusu yote niliyoyaona nikiwa na ID ya kike hapa JF...Nitaitaja ID yangu na pia nitawataja wote walionitongoza na walionitumia address na picha zao.

Nitaambatanisha na screenshot kama ushahidi...Dah kuna wengine wanaheshimika sana hapa JF.....

Nitarudi kutumbua majipu....

Yours Faithfully,
Vampire_hunter007​

Ulijisikiaje kutongozwa??
 
Back
Top Bottom