My future husband

My future husband

kalachai

Member
Joined
Jul 4, 2021
Posts
76
Reaction score
110
Dear future husband nakusubir kwa hamu kubwa iliyo kifani tuanzishe safari ya upendo wa agape pamoja [emoji173] moyo wangu unaniambia upo sehemu fulani lkn kutokana na hali nilionayo sahv ya kusoma sipati mda wa kutembea tembea mbali na kanisani, chuoni, hostel napokaa na nahic hausali sehemu naposali mm hvyo nahc tunapishana
Umri wa mkeo mtarajiwa sa hv amefikisha miaka 24 sifa za mkeo mtarajiwa ni
Mpole
Mcheshi
Sipendi kununa napenda kufurahi mda wote
Napenda kusafiri safiri ivyo ukinifanya niwe nasafir safiri nitafurah zaid[emoji16]
Mwenye upendo wa kweli na hofu ya Mungu na ni mkatoriki

Dear future husband
Natamani uwe mcheshi , mpole, mwenye hofu ya Mungu upendo wa dhati mkarimu na mtu wa kusafiri safiri coz napenda kusafir safiri

Mwenye chachu ya mafanikio coz napenda mafanikio

Dear future husband nachotaka zaidi ni upendo kama wa kristo alivyolipenda kwasababu upendo ubeba vyote nami na ahidi nitakuheshimu kama maandiko yanavyotuagiza
 
Dear future husband nakusubir kwa hamu kubwa iliyo kifani tuanzishe safari ya upendo wa agape pamoja [emoji173] moyo wangu unaniambia upo sehemu fulani lkn kutokana na hali nilionayo sahv ya kusoma sipati mda wa kutembea tembea mbali na kanisani, chuoni, hostel napokaa na nahic hausali sehemu naposali mm hvyo nahc tunapishana
Umri wa mkeo mtarajiwa sa hv amefikisha miaka 24 sifa za mkeo mtarajiwa ni
Mpole
Mcheshi
Sipendi kununa napenda kufurahi mda wote
Napenda kusafiri safiri ivyo ukinifanya niwe nasafir safiri nitafurah zaid[emoji16]
Mwenye upendo wa kweli na hofu ya Mungu na ni mkatoriki

Dear future husband
Natamani uwe mcheshi , mpole, mwenye hofu ya Mungu upendo wa dhati mkarimu na mtu wa kusafiri safiri coz napenda kusafir safiri

Mwenye chachu ya mafanikio coz napenda mafanikio

Dear future husband nachotaka zaidi ni upendo kama wa kristo alivyolipenda kwasababu upendo ubeba vyote nami na ahidi nitakuheshimu kama maandiko yanavyotuagiza
Nipo hapa ila sina hela
 
Dear future husband nakusubir kwa hamu kubwa iliyo kifani tuanzishe safari ya upendo wa agape pamoja [emoji173] moyo wangu unaniambia upo sehemu fulani lkn kutokana na hali nilionayo sahv ya kusoma sipati mda wa kutembea tembea mbali na kanisani, chuoni, hostel napokaa na nahic hausali sehemu naposali mm hvyo nahc tunapishana
Umri wa mkeo mtarajiwa sa hv amefikisha miaka 24 sifa za mkeo mtarajiwa ni
Mpole
Mcheshi
Sipendi kununa napenda kufurahi mda wote
Napenda kusafiri safiri ivyo ukinifanya niwe nasafir safiri nitafurah zaid[emoji16]
Mwenye upendo wa kweli na hofu ya Mungu na ni mkatoriki

Dear future husband
Natamani uwe mcheshi , mpole, mwenye hofu ya Mungu upendo wa dhati mkarimu na mtu wa kusafiri safiri coz napenda kusafir safiri

Mwenye chachu ya mafanikio coz napenda mafanikio

Dear future husband nachotaka zaidi ni upendo kama wa kristo alivyolipenda kwasababu upendo ubeba vyote nami na ahidi nitakuheshimu kama maandiko yanavyotuagiza

Chai
 
Dear future husband nakusubir kwa hamu kubwa iliyo kifani tuanzishe safari ya upendo wa agape pamoja [emoji173] moyo wangu unaniambia upo sehemu fulani lkn kutokana na hali nilionayo sahv ya kusoma sipati mda wa kutembea tembea mbali na kanisani, chuoni, hostel napokaa na nahic hausali sehemu naposali mm hvyo nahc tunapishana
Umri wa mkeo mtarajiwa sa hv amefikisha miaka 24 sifa za mkeo mtarajiwa ni
Mpole
Mcheshi
Sipendi kununa napenda kufurahi mda wote
Napenda kusafiri safiri ivyo ukinifanya niwe nasafir safiri nitafurah zaid[emoji16]
Mwenye upendo wa kweli na hofu ya Mungu na ni mkatoriki

Dear future husband
Natamani uwe mcheshi , mpole, mwenye hofu ya Mungu upendo wa dhati mkarimu na mtu wa kusafiri safiri coz napenda kusafir safiri

Mwenye chachu ya mafanikio coz napenda mafanikio

Dear future husband nachotaka zaidi ni upendo kama wa kristo alivyolipenda kwasababu upendo ubeba vyote nami na ahidi nitakuheshimu kama maandiko yanavyotuagiza
Unapenda kusafir umekuwa gari halafu mtajengaje maisha kwa mtindo huo wa kusafiri safir[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hujataja, kabila, unasomea nn na leo ya elimu, hujataja kama una mtoto/watoto, mkoa ulipo na unakotokea, je wewe ni mtoto wangapi n.k
 
Yaani hadi mtoto wa ngapi kuzaliwa?[emoji849][emoji849]
Ni muhimu sana kama hujui
Majukumu ya mtoto wa kwanza kwenye familia na wa mwisho ni tofauti.
Kiwango cha elimu kwenye familia ni muhimu pia kujua je ni yeye pekee amefanikiwa kufika level ya degree/diploma/masters kwenye familia n.k
 
Kiukweli huyo mume mwema,mwenye upendo,wa kukujali na picnics za hapa na pale ni mimi.

Haya yoote uliyoyaandika yameniangukia mimi.
Sina hulka ya kumfuata binti PM kwani nimelelewa katika misingi ya heshima sana.Ijikupendeza tuwasiliane, pengine twaweza barikiwa na Mungu tukajenga familia yenye furaha na upendo.
Karibu mama.
 
Thank you my future wife.

Nishanunua Glock.

47B6C0FF-1AFF-41DB-8CA5-7617CFCC3127.jpeg
 
Hapo ni dongo kwa sie ma last born
Sio dongo, bali ni katika hali ya kufahamiana
Katika familia nyingi mtoto wa kwanza huwa amebeba expectations nyingi za familia yake, jinsi anavyotakiwa kuwa, ndoa yake iweje n.k hivyo changamoto huwa ni nyingi mfano wakidate au kuoana wote first borns, muhimu kujua na kutambua hilo. Watoto wanao fuata mara nyingi familia zao haziwabani wala kuwaendesha kama ilivyo kwa mtoto wa kwanza au yule mtoto anayetegemewa zaidi na familia
 
Usintafute church skuizi mi sisali, niko zangu bar najivinjari

Hata mi na' ndoto ya kumpata kimwari, ila pesa sina sa sijui utakubali?

Sina kazi naishi kwa mazali, nasubiri mkeka utiki nije kwenu kutoa mahari

Ukitaka upendo hapa umefika, ntakupost kona zote hadi kwenye uzi wa selfika

Niwe mkweli nakutakia Kila la kheri, nimekosa vigezo kiufupi nimefeli.
 
Back
Top Bottom