My girlfriend has a girlfriend

Kheee!! Ndo wakoje hao?
Yaani mkorofi kiasi kwamba haambiliki. Wajua kuan wengine wao akifika ndo wale akugeuza, wageuka , anamaliza, anageuka...............anakuacha unakodoa macho darini........mkavuuuu. Ukimwambia haelewi sasa mdada akipata kwingine anakosikilizwa hajisikii vibaya wala hafikirii ajaribu kumweleza mumewe kuwa hamridhii!!
 

Eheheheheeee kumbe eeeh? Loh!

I learn something new everyday. Thanx a bunch.
 
Hivi mfano huyo mwenzako agundue unafanya hako kamchezo si atatoka na mapanga
Me nlijua huwa huongei kiswahili coz kingereza chako ulicho commentia leo yan ckuelewa kabisa ulchokuwa ume intend kiwafikie wanajamvi.....mm nlijua ww ni mwamerika mweusi manake.......dah
 
The kid? They should just put him/ her to bed before they get their freak on. Simple as that.

And what is a super christian? Afterall, who said christians, whether super or not, don't get freaky?

hehehe NN is back....missed this kind of flavor man
 
Me nlijua huwa huongei kiswahili coz kingereza chako ulicho commentia leo yan ckuelewa kabisa ulchokuwa ume intend kiwafikie wanajamvi.....mm nlijua ww ni mwamerika mweusi manake.......dah
:help::help: On to the next one
 
Daaahh
mpenzi MR
huyu kachanganyiwa na penzi la msichana
Mwenzie yeanatafuta njia ya kumwambia mumewe
anakwambia nilikuwa kipofu sasa nimeona..

Hahaha and
u don't need to worry bwt me lol
Hahahah lol

Ninanusa harufu fulani nitakwambia bado napitia mistari
 

Niko katika hatua za kuchambua harufu. Naanza kutambua
 

Na hii harufu inanambia kuwa huyu nayefanya hii kitu ni wewe mwenyewe maana kila jibu unalo na vile sivyomtaka mumeo.
AD where are you heading to my dear!
 
 
 
Hii ningekushauri usome tena biolojia hasa uhusiano wa chromosoms na genes. Tumezowea kuingiza kila kitu kwenye dini na shetani bila kuangalia asili yake kisayansi.
Hapa sitaki kuhalalisha au kuharamisha hili na mengineyo kwa sababu tu yapo kwenye sayansi au kwenye dini ya mtu. Ni juu ya mtu mwenyewe kuamua kwa mujbu wa imani na matakwa yake.
 
Sasa mie ningependa ueleze zaidi kama sijaisoma laaa...

Alimwambie mumewe ili iweje nini alitaka kumueleza zaidi kama angeamini ?

Anataka kumuacha mume aamie na dada huyo?

Amefikiria mbele na yupo tayari kuwa mgumu atakapovamiwa na mameno ya kona zote na pia kuwekwa pembeni?

Kweli nasikia ulezi una utamu hwaswa rafiki yangu aliniambi
 
dah,rafiki yangu (sio mchumba) wa kike yeye alinambia juzi katongozwa na msichana na ni mwana chuo mwenzake,sikujua kama haya mambo yapo Tanzania hii
Mbona haya mambo yapo Tanzania tena miaka mingi tu nyuma. Unafikiri huu msamiati wa "usagaji" umeanza leo? Tafauti ni kuwa zamani walikuwa wanajificha lakini sasa kutokana na "globalization" wameanza kutoka makabatini.

Na hii harufu inanambia kuwa huyu nayefanya hii kitu ni wewe mwenyewe maana kila jibu unalo na vile sivyomtaka mumeo.
AD where are you heading to my dear!
Dada Eeka, humtendei haki AD. Ni kipi kilichokujulisha na ukawa na hakika ya 100/100 kuwa ni yeye? Ushauri tu - Usimmhukumu mtu kwa dhana zako na hasa ikiwa humjui.
 
 
 
Mh jaman haya mambo ya kuiga sijui lakini, mwanamke kwa mwanamke kuna raha kweli???? Wengine bila kilo kadhaa za nyama ndani hatuoni raha, Ila huyo dada aangalie ataweza kuvunja ndoa yake na kuwaaibisha wazazi wake mbaya!
 
Ile juzi kati tulikuwa tunapewa analysis ya hako ka mchezo wenyewe wanakwambia kwanza hawashiki mimba halafu pili maambukizo ya VVU hakuna tofauti ukiwa na opposite sex halafu hakuna presha
I beg to differ TF,kusagana pia kuna risk tena kubwa ya kuambukizana HIV kwa sababu wanasuguana vinoni vyao.
 
Dah! haya mambo kumbe yapo hata bongo..nilidhan ni kwa wadhungu...anyway huyo rafiki yako anamatatizo..anahitaji ushauri ya kisaikojia zaidi. umrudie mungu akemee pepo linalomsumbua..hii habari ni nadra sana kumtokea mtu mwenye ndoa..Pia mume anatakiwa kutenda wajibu wake inaonekana kuna kitu anachokipenda huyu dada ambacho mwanamke mwenzake anampatia ili hali mume hampatii..cha msingi amueleze mume wake njia ipi au ni vitu gani huwa vinamfikisha penyewe wanapokuwa faraja..halafu mume amfanyie vyote ataachana kabisa na huo mchezo wa kusagwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…