My girlfriend has a girlfriend

My girlfriend has a girlfriend

Kheee!! Ndo wakoje hao?
Yaani mkorofi kiasi kwamba haambiliki. Wajua kuan wengine wao akifika ndo wale akugeuza, wageuka , anamaliza, anageuka...............anakuacha unakodoa macho darini........mkavuuuu. Ukimwambia haelewi sasa mdada akipata kwingine anakosikilizwa hajisikii vibaya wala hafikirii ajaribu kumweleza mumewe kuwa hamridhii!!
 
Yaani mkorofi kiasi kwamba haambiliki. Wajua kuan wengine wao akifika ndo wale akugeuza, wageuka , anamaliza, anageuka...............anakuacha unakodoa macho darini........mkavuuuu. Ukimwambia haelewi sasa mdada akipata kwingine anakosikilizwa hajisikii vibaya wala hafikirii ajaribu kumweleza mumewe kuwa hamridhii!!

Eheheheheeee kumbe eeeh? Loh!

I learn something new everyday. Thanx a bunch.
 
Hivi mfano huyo mwenzako agundue unafanya hako kamchezo si atatoka na mapanga
Me nlijua huwa huongei kiswahili coz kingereza chako ulicho commentia leo yan ckuelewa kabisa ulchokuwa ume intend kiwafikie wanajamvi.....mm nlijua ww ni mwamerika mweusi manake.......dah
 
The kid? They should just put him/ her to bed before they get their freak on. Simple as that.

And what is a super christian? Afterall, who said christians, whether super or not, don't get freaky?

hehehe NN is back....missed this kind of flavor man
 
Me nlijua huwa huongei kiswahili coz kingereza chako ulicho commentia leo yan ckuelewa kabisa ulchokuwa ume intend kiwafikie wanajamvi.....mm nlijua ww ni mwamerika mweusi manake.......dah
:help::help: On to the next one
 
Daaahh
mpenzi MR
huyu kachanganyiwa na penzi la msichana
Mwenzie yeanatafuta njia ya kumwambia mumewe
anakwambia nilikuwa kipofu sasa nimeona..

Hahaha and
u don't need to worry bwt me lol
Hahahah lol

Ninanusa harufu fulani nitakwambia bado napitia mistari
 
Mi mzima dear
Hope na we unaendelea vema.
nway kwa tendo la ndoa na maanisha sex
Sikupenda tu kutumia hilo neno..

Hata hivyo akisha weza mwacha
mumewe anataka kufunga ndoa na
huyo dada mwingine kwa maelezo yake
Huyo dada anamfanya awe very secure,
Anamweleza jinsi alivyo mzuri, anamwambia
jinsi anavyompenda and the best bit is when they are
having sex...

Huyu dada kachanganyiwa
sababu anaogopa familia
Na anaogopa atakuja kumwambia nini mwanae
baadaye akikua..

Niko katika hatua za kuchambua harufu. Naanza kutambua
 
Sisi marafiki
tunadhani amesha anza huu mchezo
kwa muda kidogo kwani anasema akifanikiwa
tu kumucha mumewe anataka kufunga pingu
Za maisha na huyo dada mwingine..
kweli kumshauri kuacha hataacha she is so addicted..
anachotaka ni kuvunja ndoa yake lakini mambo ya
familia na mtoto ndo yanamkatisha tamaa..
Hana upendo kwa mume wake tena..

Na hii harufu inanambia kuwa huyu nayefanya hii kitu ni wewe mwenyewe maana kila jibu unalo na vile sivyomtaka mumeo.
AD where are you heading to my dear!
 
What's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....

So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?

Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.[/QUOTE
Nyani Ngabu,suppose dada yako ameolewa kisha anakuja kukusimulia kuwa mme wake ana boyfriend,je utamwambia ni sawa tu na akitaka anaweza kujoin the fun wafanye hiyo unayoita 'trois',yaani alale kitanda kimoja na mumewe na ashuhudie mmewe anahema wakati linjemba limempanda juu?
 
What's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....

So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?

Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.[/QUOTE
Nyani Ngabu,suppose dada yako ameolewa kisha anakuja kukusimulia kuwa mme wake ana boyfriend,je utamwambia ni sawa tu na akitaka anaweza kujoin the fun wafanye hiyo unayoita 'trois',yaani alale kitanda kimoja na mumewe na ashuhudie mmewe anahema wakati linjemba limempanda juu?

Bahati nzuri sina dada.
 
Kwa maoni yangu mila hii sii yetu sisi waafrika na hakuna support yeyote ya ki-biolojia inayoeleza uwepo wa gene inayocontrol hicho kitendo ndani ya jinsia moja. Huu ni muswada ulioletwa baada ya kupitishwa na shetani mwenyewe huko kuzimu. Huyo mdada amemwasi Mungu na ndo maana shetani anamtumikisha. Ushauri, mwambie aachane na tabia hiyo maana kufanya hivyo ni kupingana na Mungu kwa makusudi.
Hii ningekushauri usome tena biolojia hasa uhusiano wa chromosoms na genes. Tumezowea kuingiza kila kitu kwenye dini na shetani bila kuangalia asili yake kisayansi.
Hapa sitaki kuhalalisha au kuharamisha hili na mengineyo kwa sababu tu yapo kwenye sayansi au kwenye dini ya mtu. Ni juu ya mtu mwenyewe kuamua kwa mujbu wa imani na matakwa yake.
 
Sasa mie ningependa ueleze zaidi kama sijaisoma laaa...

Alimwambie mumewe ili iweje nini alitaka kumueleza zaidi kama angeamini ?

Anataka kumuacha mume aamie na dada huyo?

Amefikiria mbele na yupo tayari kuwa mgumu atakapovamiwa na mameno ya kona zote na pia kuwekwa pembeni?

Kweli nasikia ulezi una utamu hwaswa rafiki yangu aliniambi
 
dah,rafiki yangu (sio mchumba) wa kike yeye alinambia juzi katongozwa na msichana na ni mwana chuo mwenzake,sikujua kama haya mambo yapo Tanzania hii
Mbona haya mambo yapo Tanzania tena miaka mingi tu nyuma. Unafikiri huu msamiati wa "usagaji" umeanza leo? Tafauti ni kuwa zamani walikuwa wanajificha lakini sasa kutokana na "globalization" wameanza kutoka makabatini.

Na hii harufu inanambia kuwa huyu nayefanya hii kitu ni wewe mwenyewe maana kila jibu unalo na vile sivyomtaka mumeo.
AD where are you heading to my dear!
Dada Eeka, humtendei haki AD. Ni kipi kilichokujulisha na ukawa na hakika ya 100/100 kuwa ni yeye? Ushauri tu - Usimmhukumu mtu kwa dhana zako na hasa ikiwa humjui.
 
pls n pls stop being thomaso
umesoma shule gan?
kwakweli mosh i tabia imezd kule machame,kilaen ,mawenz ,weruweru,ashira ...na ile ya masista pale....
yan ni kero
ukifika form5 wale wadada wa form 6 wanajifanya kuanzisha udota na umama wa shule bas pale ndo mwanzo na km wewe ulikuwa kwenu unadekezwa apo chacha ...atakudekeza,mtakumbatiana kumbatiana na usiku ule mtindo wa kujenga kijumba na kulala wawili kwa wasichana kawaida bas ndo pale ...mara mmeshikana ziwa ..mara mmeshkana.....mara uyu kamzamia uyu...then here we gooooooooooooooooooo ndo kamchezo daily ..na awa bnadamu wana wivu hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii


unaendaga club dada?
ahh mi mara kibao nimetongozwa..ni kawaida yaan na km ukiwa hausuki ivi unalow cut...ahh iyo ndo sign kubwa bas utafutwa wewe hatari..nenda maisha nenda bills uko ndo kuna vtuko mara nyng mademu kupeana denda ni kawa sana.....
ukienda machuon apo dahh acha ..hasa hasa nenda kitivo cha sheria kule kwenye wakenya/wauganda weng ...ahhh kwa raha zaooooooooooo...couples kibaooooooooooo..
kndon kuna mbibi mtu mzima lakin msagaj na anajulikana ..kule temeke kuna mdada yaan dzain mamahadija tu lakin msagaji sasa uyu utajiuliza kajifunzia wap manake ajaenda shule wala hana exposure kiivo lakin msagaji...


shetaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan....
usiwe tomaso amini watu awa wapo....[/QUOTE
kweli mwisho wa dunia umekaribia kwani dalili zote zipo.
 
images

ngoja ni m-pm sema watu hamjajua tu, ila mimi nina msichana wangu yeye nilivyo mu approach aliniambia kuwa ana GF na akaniuliza kuwa napenda hiyo kitu au sitaki yeye awe na gf? nikamwambia unaweza kua naye without any problems, mtoto akawa ananipa penzi we acha tu kwanza ana sura ya kiume na mapozi ya kiume ila ana kitu tight kinoma huyu akikubali mi namuoa kabisa[/QUOTE]

Ivuga
nawe umeamua kumwoa BF wako

 
Mh jaman haya mambo ya kuiga sijui lakini, mwanamke kwa mwanamke kuna raha kweli???? Wengine bila kilo kadhaa za nyama ndani hatuoni raha, Ila huyo dada aangalie ataweza kuvunja ndoa yake na kuwaaibisha wazazi wake mbaya!
 
Ile juzi kati tulikuwa tunapewa analysis ya hako ka mchezo wenyewe wanakwambia kwanza hawashiki mimba halafu pili maambukizo ya VVU hakuna tofauti ukiwa na opposite sex halafu hakuna presha
I beg to differ TF,kusagana pia kuna risk tena kubwa ya kuambukizana HIV kwa sababu wanasuguana vinoni vyao.
 
Dah! haya mambo kumbe yapo hata bongo..nilidhan ni kwa wadhungu...anyway huyo rafiki yako anamatatizo..anahitaji ushauri ya kisaikojia zaidi. umrudie mungu akemee pepo linalomsumbua..hii habari ni nadra sana kumtokea mtu mwenye ndoa..Pia mume anatakiwa kutenda wajibu wake inaonekana kuna kitu anachokipenda huyu dada ambacho mwanamke mwenzake anampatia ili hali mume hampatii..cha msingi amueleze mume wake njia ipi au ni vitu gani huwa vinamfikisha penyewe wanapokuwa faraja..halafu mume amfanyie vyote ataachana kabisa na huo mchezo wa kusagwa
 
Back
Top Bottom