My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

Tatizo lako wewe unafikiria Makkah haiwezi kuvamiwa hata ikivamiwa hakuna kitakacho dhuru sababu ni Mungu ndio anapalinda. Haya hao walio vamia walifanya madhara gani.
Walikuja tolewa na makomando makafiri wa ufaransa
 
Huoni huo ni uhuni Yani mmeaminishwa kitu chochote hakiwezi kuipa Kaaba lakini kwakuwa fanani anajua alichondika ni uongo kaamua kujitetea kuwa kama kitu chochote kitatokea na anajua kabisa uwezekano wa kutokea upo anasema Allah atakuwa anawapima SI uhuni na utapeli huo
 
Huujui uovo wa magharibi wewe kaa kimya
 
Dalili za Nini?
Kama French special forces walitumika pale Makkah, navyo fahamu ni Saud Arabia ndio waliwatoa. Wataingia vipi pale Makkah labda wawe Waislam na wakiwa Waislam basi mnajikanyaga mlisema ni makafiri ndio walio wasaidia Saud Arabia.
 
Walikuja tolewa na makomando makafiri wa ufaransa
Kafiri hawezi ingia Makkah, wacheni ujinga kama hao French special forces waliwasaidia jeshi la Saud Arabia ni lazima wachaguliwe wale Waislam. Kafiri hawezi gusa seheme takatifu, kawauliza vizuri wafaransa labda walisilimishwa kuingia pale, ni no way mtu kama wewe kafiri kugusa sehemu takatifu.
 
Kafiri ansingie Makkah wakati ndo anayeilinda Saudia na Makkah ikiwa ndani yake?
 
El
Elimu ya madrasaa Hiyo
 
😁😁😁😁 Msikiti mtakatifu wa Mungu umekombolewa na wanajeshi wa ufaransa ambao ni makafiri kwanini Mungu asiukomboe yeye mwenyewe wonders shall never ends, tukiwaambia dini ni utapeli hamtaki
 
Hii nimecheka Sana 😁😁😁😁

Kumbe ni matofali Tu ya kuchoma ambayo yanaweza kujengwa hata na fundi John πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™ŒπŸ™Œ

Kuna watu wamejazwa Imani kuwa Hilo li alkaaba limetoka mbinguni πŸ˜πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…