My review of a song of Ice and Fire: Game of Thrones series

Kuna kitu kidogo labda nielezee kuhusu tabia za king robert alikua ana tabia moja. Yeye anajijua kwamba sio mzuri kwenye uongozi. Kwa hiyo alikua anachagua hand of the king mwenye uwezo wa kuongoza, ndiyo maana mwanzo alikuwepo jon aryn, na alipokufa akaona kwenye seven kingdome yote mtu pekee mwenye uwezo wa kuongoza ni lord eddard stark na kweli lord eddard stark ni honnorable man, fikiria siku zote anamlea jon snow na anaonekana kua mzinifu lakini sio kweli na siri amebakia nayo hata mkewe hajamwambia kua huyu sio mwanangu. Alikua tayari kubeba lawama zote.
Kilichomuua eddard ni usaliti, alisalitiwa na lord baelish, kumbuka kwamba lord baelish ndiyo aliyesema kua hiki kisu ni cha tyrion. Kwa hiyo alimsaliti sana eddard stark.
Kilichomuua rob stafk ni kutokua na maamuzi ya busara baada ya baba yao kufa
 
Mkuu Nowonmai ulicheki Series au ulisoma vitabu vyake?
 
  • Salladhor Saan : I've been all over the world, my boy, and everywhere I go people tell me about the 'true gods', they all think they found the right one. The one true god is what's between a woman's legs. And better yet a queen's legs.
  • Salladhor Saan : One thing, I want the queen.
    Ser Davos Seaworth : The queen?
    Salladhor Saan : Cersei, I want her. I'll sail with your fleet, all 30 of my ships, and if we don't drown at the bottom of Blackwater bay, I will https://jamii.app/JFUserGuide this blonde queen and I'll https://jamii.app/JFUserGuide her well.
    Matthos Seaworth : This war isn't about you. We're not attacking King's Landing so that you can rape the queen.
    Salladhor Saan : I'm not going to rape her, I'm going to https://jamii.app/JFUserGuide her.
    Matthos Seaworth : As if she would just let you?
    Salladhor Saan : You don't know how persuasive I am. I've never tried to https://jamii.app/JFUserGuide you.
 
ROB aliweka kisasi mbele sana akawa anashindwa kufanya maamuzi sahihi
 
Mkuu Nowonmai ulicheki Series au ulisoma vitabu vyake?

Nimeangalia series na vitabu nimesoma pia.

Kwa maoni yangu, Robb asingeweza kumuacha Lord Karstark hai baada ya kuuliwa wale vijana bila ku-compromise heshima yake ila nakubali kuwa alikosea kuvunja ahadi yake ya kumwoa binti wa Lord Frey.

Kwenye siasa za hili gemu kosa kidogo linamtoa mtu uhai na ndio maana walio survive mpaka mwisho ni truly formidable characters.
 
ROB aliweka kisasi mbele sana akawa anashindwa kufanya maamuzi sahihi

Ni kweli lakini katika blood feuds kisasi ni sehemu ya heshima(honour) ya hizi koo/familia za kikabaila.

Heshima kwa ukoo inakuwepo kama unalipa kisasi bila kujali ukubwa wa kosa.
 

Heshima kwako mkuu Da’Vinci.

Nitatafuta muda niirudie tena hii series ambayo kwa kweli haikauki utamu.

Asante kwa kuu-keep alive huu uzi.
 
Sikumbuki sana visa vyake. Mi nilisoma vitabu na series niliishia season za mwanzo mwanzo. Vitabu vinaishia Stone anapigwa visu. Ukisoma au kuangalia ile series unajihisi umeiva kwenye njama za siasa. Mambo ya kina Littlefinger na Varys. Mule ndani kila mtu ni mbinafsi, maslahi yake kwanza. Kusalitiana ndiyo jina la mchezo.

Jamaa anategemea kutoa vitabu viwili vya mwisho ila sijui kama Series itakuwa haijavispoil?
 
THE HOUND anamwambia BRONN

You like fucking, and drinking, and singing. But killing, killing’s the thing you love,
 
Staniss na jeshi lake wasingevamia muda ule basi zingechapwa pale
Sijui walichukiana nini
The Hound aliona jamaa anabonga sana afuu BRONN ile ongea yake ilikuwa ya dharau saba . All in all mafahari wawili ....
 
The Hound aliona jamaa anabonga sana afuu BRONN ile ongea yake ilikuwa ya dharau saba . All in all mafahari wawili ....
Kuna Bronn na yule dingi aliyemchukua Arya pale kwenye mnara wa Lord Baylor wakati Ned Stark anauliwa, napenda sana jinsi wanavyoongea kama hawajali kitu halafu wabishi.
 
Kuna Bronn na yule dingi aliyemchukua Arya pale kwenye mnara wa Lord Baylor wakati Ned Stark anauliwa, napenda sana jinsi wanavyoongea kama hawajali kitu halafu wabishi.
Anaitwa YOREN

Nakumbuka moja ya kings guard walikutana akaambia hivi na huyu mzee
"It's a funny thing; people worry so much about their throats that they forget about what's down low. Now, I sharpened this blade before breakfast. I could shave a spider's arse if I wanted to, or I could nick this artery in your leg. And once it's nicked, there's no one around here who knows how to unnick it. Mda anamwambia hivi kisu kilikuwa mitaa ya map"**bu
 
Hii series ni kali,lakini seasons za mwisho show runners wameziharibu,mwisho ndio mbaya kuliko.Humo ndani kuna jamaa ana asili ya Tanzania ameigiza na kuna prequel inaandaliwa itatoka mwakani kama sikosei,inaitwa The House of The Dragons.
 
naam, walikuwa wanamtafuta bastard Gendry
 
Hii series ni kali,lakini seasons za mwisho show runners wameziharibu,mwisho ndio mbaya kuliko.Humo ndani kuna jamaa ana asili ya Tanzania ameigiza na kuna prequel inaandaliwa itatoka mwakani kama sikosei,inaitwa The House of The Dragons.
@Ramsay Bolton
 
GOT inanitesa sana kiongozi nimeshindwa kuangalia series nyingine mpaka mwisho kwasababu huwa nalazimisha ziwe na utamu kama wa GOT lakini kumbe holaaa.
 
Hii series ni kali,lakini seasons za mwisho show runners wameziharibu,mwisho ndio mbaya kuliko.Humo ndani kuna jamaa ana asili ya Tanzania ameigiza na kuna prequel inaandaliwa itatoka mwakani kama sikosei,inaitwa The House of The Dragons.
Point yangu haipo katika happy ending,set nzima ya season za mwisho imeharibiwa,matukio yamepelekwa speed sana,kuna baadhi ya storyline zimepotezwa mvuto kwa makusudi na baadhi ya character development yao imemalizwa hovyo kiasi cha kuondoa sense,kuna talks kuwa show runners walipata deal lingine kwahiyo ilibidi wamalize game of thrones in a hurry ili wafanye hiyo project nyingine,na sio mimi tu ambaye sijavutiwa na mwisho wa GOT kuna petition imepita mitandaoni fans wakiomba HBO wawape watengenezaji wengine ambao wako competent wamalizie season ya mwisho.
 
Hii series ni kali,lakini seasons za mwisho show runners wameziharibu,mwisho ndio mbaya kuliko.Humo ndani kuna jamaa ana asili ya Tanzania ameigiza na kuna prequel inaandaliwa itatoka mwakani kama sikosei,inaitwa The House of The Dragons.
Point yangu haipo katika happy ending,set nzima ya season za mwisho imeharibiwa,matukio yamepelekwa speed sana,kuna baadhi ya storyline zimepotezwa mvuto kwa makusudi na baadhi ya character development yao imemalizwa hovyo kiasi cha kuondoa sense,kuna talks kuwa show runners walipata deal lingine kwahiyo ilibidi wamalize game of thrones in a hurry ili wafanye hiyo project nyingine,na sio mimi tu ambaye sijavutiwa na mwisho wa GOT kuna petition imepita mitandaoni fans wakiomba HBO wawape watengenezaji wengine ambao wako competent wamalizie season ya
GOT inanitesa sana kiongozi nimeshindwa kuangalia series nyingine mpaka mwisho kwasababu huwa nalazimisha ziwe na utamu kama wa GOT lakini kumbe holaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…