Myahudi awapiga risasi wayahudi wenzie huko miami akidhani ni wapalestina

Myahudi awapiga risasi wayahudi wenzie huko miami akidhani ni wapalestina

Utazunguka sana lakini ukweli utabaki palepale waarabu na wayahudi wanafahamika vizuri sana kwa huku ni sawa na Watusi na wahutu. Wewe wayahudi unawajua kwa kusoma na ku- GUGU tu ninaye kuambia ninawafahamu nakushangaa unaposhupaza fuvu.
Wewe hujui chochote kingozi, wanaoishi Israel na wayahudi wenyewe wanasema kutofautisha ni vigumu...
Kuwatofautisha ukute wameshika dini, hawa watavaa kanzu hawa wengine watavaa Haredi, wanawake hawa watavaa hijab hawa watavaa haredi... lakini kama hawajashika dini kutofautisha huwei hata wao wanakiri hilo, akitokea hapo binti ambaye ni mizrahi jew na muarabu tuseme mpalestina huwezi kuwatofautisha...

Pita mitandao kama reddit, quora n.k kasome, kama hapa chini huyu anaishi Haifa Israel, e Haifa ulishafika?
Anasema utawatofautisha kwa lafudhi lakini si muonekano..
Screenshot 2025-02-21 123658.png
 
Israel kuna waarabu zaidi ya Million 2 nimeishi huko miaka mitatu najua Hebrew sijui kiarabu lakini kwa miaka yote hiyo sijawahi kumuona Muyahudi kavaa kazu au Mwanameka wa Kiyahudi kavaa Hijab labda kwenye mitandao tu. Kwa taarifa yako hawa watu hawachangamani kihivyo unavyojua wao wana mitaa yao ambako wayahudi si rahisi sana kwenda ingawaje wao waarabu wanaweza kuingia sehemu yoyote bila kubaguliwa wala kuhojiwa na yeye ambavyo ni kinyume na kwa wayahudi kwenda mitaa ya waarabu wanawake wanaweza kupata shida na wanaume wanaenda huko for their own risk. Si rahisi kuona Muyahudi kaoa Mwarabu au versa-versa. Unaweza ukapinga ujuavyo lakini ukweli unabaki vilevile. Kingine kinachowatofautisha ni Tamaduni zao na dini zao ni tofauti sana haziwiani kwa kwasi kikubwa.
 
Israel kuna waarabu zaidi ya Million 2 nimeishi huko miaka mitatu najua Hebrew sijui kiarabu lakini kwa miaka yote hiyo sijawahi kumuona Muyahudi kavaa kazu au Mwanameka wa Kiyahudi kavaa Hijab labda kwenye mitandao tu. Kwa taarifa yako hawa watu hawachangamani kihivyo unavyojua wao wana mitaa yao ambako wayahudi si rahisi sana kwenda ingawaje wao waarabu wanaweza kuingia sehemu yoyote bila kubaguliwa wala kuhojiwa na yeye ambavyo ni kinyume na kwa wayahudi kwenda mitaa ya waarabu wanawake wanaweza kupata shida na wanaume wanaenda huko for their own risk. Si rahisi kuona Muyahudi kaoa Mwarabu au versa-versa. Unaweza ukapinga ujuavyo lakini ukweli unabaki vilevile. Kingine kinachowatofautisha ni Tamaduni zao na dini zao ni tofauti sana haziwiani kwa kwasi kikubwa.
Una ujuaji usio na tija, hapa tunazungumzia mizrahi jews... punguza ujuaji...
 
Back
Top Bottom