Myanmar: Kiongozi wa Kiraia aongezewa miaka mingine 4 jela

Myanmar: Kiongozi wa Kiraia aongezewa miaka mingine 4 jela

Sio kweli mkuu hayu mama kaua sana huko sema labsa kwa vile wakiouliwa wengi ni waislamu na nyie hamuwapendi ndio mukampamba
Tumeshuhudia hata hapa wa kwanza aliharibu wa pili akatengeneza
Lakini akaambiwa eti ndio mbaya
Hv kwann waislam hamjawa kukemea magaidi wa kiislam ila wanapojibiwa huwa mnalalamika , nipe sababu kwann mko hivo ?
 
Huyu gaidi anatetewa sana kwa kuwa kaua waislamu,
Mpaka sasa hivi kambi ya wakimbizi iko pale cox bazaar bangladesh
Halafu kuna watu humu eti inasema ni mwema
Mbulah
Huyu ni gaidi tu
Magaid ya kiislam yanaua watu wema , kisha waumini wa kiislam wanawaficha hao magaidi ,hv huko si kuikubali vita tu , kwann wakidundwa mnalalamika ? Wakati wameikaribisha vita wenyewe
 
Hv kwann waislam hamjawa kukemea magaidi wa kiislam ila wanapojibiwa huwa mnalalamika , nipe sababu kwann mko hivo ?
Sio kweli uislamu unakemea na haukubali ugaidi ila nyie ndio munalazimisha waislamu waonekane magaidi

Na nyie kwanini hamukemei ushoga
Na munapoitwa mashoga munalalamika,
Nipe sababu kwanini muko hivyo?
 
Acha kusingizia kila kitu wazungu. Hao hao wazungu ndiyo walimpa hadi tunzo ya nobel, kila kitu kiko wazi wakati Warohingya wanauawa dunia nzima ilishuhudia. Watu wamekimbia makazi, watoto wameuawa, watu wamegeuka wakimbizi kisa tu tofauti za kidini.
She is not who she pretended to be.
Kwan Abey alipewa tuzo ya Nobel na nan? je kwenye huo mgogoro wazungu walisimama upande gan ? au Mandela tuzo ya Nobel alipewa na nan ila si ndo wao walimfunga na kumwita gaidi ? Kiufup waislam mnatumika sana kweny mipango ya wazungu bila nyinyi kujuwa , wazungu hawapendi nchi za dunia ya tatu kuwa na viongoz bora , ukitaka kuelewa hilo angalia viongoz vilaza huwa hawaangaiki nao .
 
Sio kweli uislamu unakemea na haukubali ugaidi ila nyie ndio munalazimisha waislamu waonekane magaidi

Na nyie kwanini hamukemei ushoga
Na munapoitwa mashoga munalalamika,
Nipe sababu kwanini muko hivyo?
Hv hapo zanzibar na mikoa ya pwani kwa Tanzania bara wanaolawiti vijana wetu kwa kuwaonga simu na kazi za kuuza dukan ni wakristu ?
 
Magaid ya kiislam yanaua watu wema , kisha waumini wa kiislam wanawaficha hao magaidi ,hv huko si kuikubali vita tu , kwann wakidundwa mnalalamika ? Wakati wameikaribisha vita wenyewe
Hakuna anaelalamika
Ila nyie ndio mukidundwa kidogo minakimbilua media na kutangaza ugaidi
Ooho magaidi hawa watu wakidai haki yao magaidi basi na nyie magaidi wa ushoga kwa kudai watu waoane wanaume kwa wanaume
 
Sio kweli uislamu unakemea na haukubali ugaidi ila nyie ndio munalazimisha waislamu waonekane magaidi

Na nyie kwanini hamukemei ushoga
Na munapoitwa mashoga munalalamika,
Nipe sababu kwanini muko hivyo?
Alshabab , Al Ansar , boko haram , janjaweed nk vyote hivi vipo na mkisikia mtu anaviponda ndo mnakuwa wa kwanza kuvitetea , ss hiyo sio kuunga mkono?
 
Hv hapo zanzibar na mikoa ya pwani kwa Tanzania bara wanaolawiti vijana wetu kwa kuwaonga simu na kazi za kuuza dukan ni wakristu ?
Ndio ni wakristo na siku hizi wanafirwa kwelu
Yaani mchezo wameupenda mpaka wanaoana wanaume kwa wanaume na hao wanawake ndio usiseme
Akikohoa tu uharo unamwagika
Kwa mitaro ilivyofumuka
 
Alshabab , Al Ansar , boko haram , janjaweed nk vyote hivi vipo na mkisikia mtu anaviponda ndo mnakuwa wa kwanza kuvitetea , ss hiyo sio kuunga mkono?
Yote hayi ni kampuni za wayahudi na wa marekani
Uislamu umrkataa hayo matendo wanayofanya na wala uislamu hauhusiki

Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya
 
Kwan Abey alipewa tuzo ya Nobel na nan? je kwenye huo mgogoro wazungu walisimama upande gan ? au Mandela tuzo ya Nobel alipewa na nan ila si ndo wao walimfunga na kumwita gaidi ? Kiufup waislam mnatumika sana kweny mipango ya wazungu bila nyinyi kujuwa , wazungu hawapendi nchi za dunia ya tatu kuwa na viongoz bora , ukitaka kuelewa hilo angalia viongoz vilaza huwa hawaangaiki nao .
Mimi si Mwislam, ila walichofanyiwa hao watu na huyu mama dunia ilishuhudia.
Mama mnafiki tu.
 
Uyu mama wamnyonge ule unyama wa Rohingya sio kabisa.

Kuna clip moja mtoto wa Kirohingya kafungwa mikono juu ya mti akiwa hai alafu chini wamewasha moto anaungua anakufa kwa mateso makubwa,alafu ni mtoto kama wa miaka saba hivi.
Ni unyama mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom