Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Watu wengi wanamsifia kama kiungo punde ila kwa maono na maoni yangu binafsi namuona kama mchezaji wa kiwango cha chini sana kuichezea klabu kubwa kama Simba SC.
Miongoni mwa madhaifu yake ni kushindwa kupiga pasi za maana,mara nyingi amekuwa mtu wa kupoteza pasi.
Uwezo wake wa kumiliki mpira pia ni mdogo.
Madhaifu mengine ni kuwa ana maamuzi mabovu sana wakati timu inashambulia, hajui atoe pasi au apige shuti. Kitendo kinachopekea kupoteza mipira na kuigharimu timu.
Mwisho kabisa ni kuwa hajui kusukuma mpira nyavuni, kama utachunguza game nyingi za Simba, amekuwa akipata nafasi za kufunga lakini amekuwa akizipoteza.
Wito na ombi langu kwa uongozi wa simba ni kuwa wajitahidi kutafuta mbadala wa kiungo huyo punda.
Nawasilisha
Miongoni mwa madhaifu yake ni kushindwa kupiga pasi za maana,mara nyingi amekuwa mtu wa kupoteza pasi.
Uwezo wake wa kumiliki mpira pia ni mdogo.
Madhaifu mengine ni kuwa ana maamuzi mabovu sana wakati timu inashambulia, hajui atoe pasi au apige shuti. Kitendo kinachopekea kupoteza mipira na kuigharimu timu.
Mwisho kabisa ni kuwa hajui kusukuma mpira nyavuni, kama utachunguza game nyingi za Simba, amekuwa akipata nafasi za kufunga lakini amekuwa akizipoteza.
Wito na ombi langu kwa uongozi wa simba ni kuwa wajitahidi kutafuta mbadala wa kiungo huyo punda.
Nawasilisha