specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
Ndugu zangu wana JF habari Kuna mama wakizenji (kama si pepo) ameniamulia na amezamilia kuvunja ndoa yangu Huyu mama ananipigia simu nakunitumia sms akidai nimemtelekeza mtoto niliyezaa naye huko Zanzibar(hajabu hii-mm na Zenji wapi na wapi,hata kigamboni sijawahi kufika)!!! Nimemueleza vizuri ila haelewi kila siku nikunitumia sms+ calls akinitusi!!! sasa ndugu zangu naomba mnisaidie maana hadi mke wangu anahisi nikweli nimetelekeza mtoto!! naomba niweke no ya huyo mtu ili mnisaidie kuongea naye maana mimi hanielewi na anisikilizi,ni matusi tu naambulia! No yake ni 0773901050