Mzazi akigoma kumpeleka mtoto sekondari mnamchukulia hatua. Huyo mtoto akimaliza degree hamumuajiri. Leo hii mnawaambia warudi kusoma VETA!!!

Mzazi akigoma kumpeleka mtoto sekondari mnamchukulia hatua. Huyo mtoto akimaliza degree hamumuajiri. Leo hii mnawaambia warudi kusoma VETA!!!

Nobunaga

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,205
Reaction score
5,121
Enzi zetu wakati tunasoma, kwenda shule ilikuwa ni kwa lengo la kujua kusoma na kuandika tuu.

Baada ya hapo ilikuwa ni optional kwako either urudi nyumbani ukaendelee na michakato mingine ya maisha, ama uendelee na shule mpaka utakapokomea.

Enzi hizo ilikuwa "utafika mbali endapo una akili", ukifeli basi rudisha kende home ukafunzwe maisha halisi. Unafundishwa kazi, wa kuoa wanaoa na wa kuolewa wanaolewa.

Leo hii mambo ni tofauti!!!

Elimu imekuwa kichaka cha watoto kutokujifunza skills za maisha tangu wakiwa wadogo. Wamenyimwa haki ya kujua kwamba kuna maisha mengine tofauti na maisha ya shule.

Mtoto toka anazaliwa mpaka anakua mtu mzima wa miaka 21-25 ni SHULE SHULE SHULE. Akimaliza shule akija mtaani hakuna anachojua zaidi ya kushika simu na kuingia mitandaoni.

Hiki kizazi hata ukikutana nacho makazini kina very poor attitude kuhusu kazi. Wanadhani kazi ni rahisi rahisi, hawataki kuji-stretch, ni wapenda bata, vichwa vimejaa fantasies za luxury life, wanawaza kununua magari na simu kali kali tu.

Serikali isipoamka kutoka usingizini, hakika baada ya miaka 10 tutakuwa na taifa moja la ajabu sana.

Screenshot_2025-03-13-01-52-28-047_com.whatsapp-edit.jpg
 
Kiukweli hili ni janga la kitaifa. Watoto hawafanyi kabisa kazi za mikono. Ni kusoma kila wakati hadi wakati wa likizo. Inatakiwa mtoto wakati wa likizo apige kazi za nyumbani au hata apelekwe kijijini kupiga kazi za shamba badala ya Tuition. Tunaandaa taifa goigoi. Siku hizi ni kawaida kijana kuacha kazi kwa sababu kazini kwao kuna kazi nyingi sana hapati muda wa kujivinjari.
 
Kiukweli hili ni janga la kitaifa. Watoto hawafanyi kabisa kazi za mikono. Ni kusoma kila wakati hadi wakati wa likizo. Inatakiwa mtoto wakati wa likizo apige kazi za nyumbani au hata apelekwe kijijini kupiga kazi za shamba badala ya Tuition. Tunaandaa taifa goigoi. Siku hizi ni kawaida kijana kuacha kazi kwa sababu kazini kwao kuna kazi nyingi sana hapati muda wa kujivinjari.
Vijana wanakuja makazini wako legelege mpaka unajiuliza huyu maisha anayajua yalivyo serious kweli?

Tunatengeneza taifa la "SPOON FEEDING"
 
Enzi zetu wakati tunasoma, kwenda shule ilikuwa ni kwa lengo la kujua kusoma na kuandika tuu.

Baada ya hapo ilikuwa ni optional kwako either urudi nyumbani ukaendelee na michakato mingine ya maisha, ama uendelee na shule mpaka utakapokomea.

Enzi hizo ilikuwa "utafika mbali endapo una akili", ukifeli basi rudisha kende home ukafunzwe maisha halisi. Unafundishwa kazi, wa kuoa wanaoa na wa kuolewa wanaolewa.

Leo hii mambo ni tofauti!!!

Elimu imekuwa kichaka cha watoto kutokujifunza skills za maisha tangu wakiwa wadogo. Wamenyimwa haki ya kujua kwamba kuna maisha mengine tofauti na maisha ya shule.

Mtoto toka anazaliwa mpaka anakua mtu mzima wa miaka 21-25 ni SHULE SHULE SHULE. Akimaliza shule akija mtaani hakuna anachojua zaidi ya kushika simu na kuingia mitandaoni.

Hiki kizazi hata ukikutana nacho makazini kina very poor attitude kuhusu kazi. Wanadhani kazi ni rahisi rahisi, hawataki kuji-stretch, ni wapenda bata, vichwa vimejaa fantasies za luxury life, wanawaza kununua magari na simu kali kali tu.

Serikali isipoamka kutoka usingizini, hakika baada ya miaka 10 tutakuwa na taifa moja la ajabu sana.

View attachment 3268501
Tunaongozwa na wajinga.
 
Enzi zetu wakati tunasoma, kwenda shule ilikuwa ni kwa lengo la kujua kusoma na kuandika tuu.

Baada ya hapo ilikuwa ni optional kwako either urudi nyumbani ukaendelee na michakato mingine ya maisha, ama uendelee na shule mpaka utakapokomea.

Enzi hizo ilikuwa "utafika mbali endapo una akili", ukifeli basi rudisha kende home ukafunzwe maisha halisi. Unafundishwa kazi, wa kuoa wanaoa na wa kuolewa wanaolewa.

Leo hii mambo ni tofauti!!!

Elimu imekuwa kichaka cha watoto kutokujifunza skills za maisha tangu wakiwa wadogo. Wamenyimwa haki ya kujua kwamba kuna maisha mengine tofauti na maisha ya shule.

Mtoto toka anazaliwa mpaka anakua mtu mzima wa miaka 21-25 ni SHULE SHULE SHULE. Akimaliza shule akija mtaani hakuna anachojua zaidi ya kushika simu na kuingia mitandaoni.

Hiki kizazi hata ukikutana nacho makazini kina very poor attitude kuhusu kazi. Wanadhani kazi ni rahisi rahisi, hawataki kuji-stretch, ni wapenda bata, vichwa vimejaa fantasies za luxury life, wanawaza kununua magari na simu kali kali tu.

Serikali isipoamka kutoka usingizini, hakika baada ya miaka 10 tutakuwa na taifa moja la ajabu sana.

View attachment 3268501
Sekondari ni Elimu ya lazima Hadi form 4.

Baada ya hapo ni hiari.

Mwisho Elimu hailengi wewe kuajiriwa Bali kukupa maarifa na ujuzi wa kupambana na maisha
 
Ina maana kabla ya hii kauli ya PM hakuna graduate aliyewahi kurudi VETA kusomea fani yoyote?

Au shida ni huo ufundi cherehani!
 
Jaribu kuangalia vitu positively, kiongozi akiongea huwa anazingatia uhalisia, degree yako na skills za vita zinaweza kukufanya uwe tajiri.
 
Nimesoma heading tu nikashawishika kujibu hivi

"Hakuna serikali duniani inayoweza kuajiri wasomi wote pake yake"

Ndiyo maana kuna sekta binafsi. Hivyo kama wewe ni msomi na haujapata ajira, tengeneza himaya uajiri watu.
 
Kama ni hivyo basi mtoto akimaliza form four kabla hajapangiwa form five au chuo aende veta. Na endapo yupo chuo akipata free time kama likizo aende mtaani akapate ujuzi.
 
Leo hii mambo ni tofauti!!!

Elimu imekuwa kichaka cha watoto kutokujifunza skills za maisha tangu wakiwa wadogo. Wamenyimwa haki ya kujua kwamba kuna maisha mengine tofauti na maisha ya shule.

Mtoto toka anazaliwa mpaka anakua mtu mzima wa miaka 21-25 ni SHULE SHULE SHULE. Akimaliza shule akija mtaani hakuna anachojua zaidi ya kushika simu na kuingia mitandaoni.

Hiki kizazi hata ukikutana nacho makazini kina very poor attitude kuhusu kazi. Wanadhani kazi ni rahisi rahisi, hawataki kuji-stretch, ni wapenda bata, vichwa vimejaa fantasies za luxury life, wanawaza kununua magari na simu kali kali tu.
Wangekuwa wana uchungu na nchi hii
  1. Wangeacha kununua mashangingi fedha ielekezwe kwenye mikopo kwa vijana wajiajiri
  2. Wangetumia tele conferencing kuua perdiems fedha ielekezwe kwenye mikopo kwa vijana wajiajiri
  3. Wangerejesha mashamba yote waliyopora Mtibwa, Dakawa na kwingineko wakawapa vijana
  4. Wangepunguza majimbo ya uchaguzi na marupurupu ya wabunge fedha ielekezwe kwenye kujiajiri
  5. Wangeminya matumizi kwenye wizara ya fedha fedha ielekezwe kwenye mikopo kwa vijana
  6. Wafute safari za nje zisizo za lazima fedha ielekezwe kwa vijana kujiajiri
  7. Wangepunguza misururu ya magari kwenye misafara ya viongozi fedha ichangie kujiajiri
Yapo matumizi mengi ya hovyo na wizi uliokithiri ambao fedha hiyo wangekopeshwa vijana kwenye kujiajiri
 
Nimesoma heading tu nikashawishika kujibu hivi

"Hakuna serikali duniani inayoweza kuajiri wasomi wote pake yake"

Ndiyo maana kuna sekta binafsi. Hivyo kama wewe ni msomi na haujapata ajira, tengeneza himaya uajiri watu.
kwenye kutengeneza himaya sio kwepesi sana na kwenyewe, ukianza tu watu wa Manispaa hawa hapa, TRA hawa hapa, haijakaa sawa maafisa chungu nzima
 
Ikumbukwe tu watawala wa ccm ni wabinafsi sana, halafu hawana faida yoyote ile ya maana kwa jamii.
 
Back
Top Bottom