Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

General knowledge ukimaanisha wapigwe brash😀😀😀

Malengo ya dini yatafikiwa lini ikiwa kila mtu anakuwa yupo shalow.
 
Kila siku huwa nasema jamii forum imejaa mazumbukuku.Mijitu pori isiyo na weledi wala akili za kiuchambuzi.

Ni sehemu unapata reflection ya jamii ya kitanzania.Kiuhalisia Watz wengi bado wanauelewa mdogo na uwezo mdogo wa kupbanua na kuchambua mambo.

Mtu akiwa na vijihela viwili vitatu na uwezo wa kusomesha watoto EMS plus kajumba kake anapolaza mbavu.Basi mtu huyu anaanza kujaa kiburi na ghazabu zisizo na mfano😀😀😀.Tz itachukua miaka 100 mingine kupata uhuru wa kifikra na kielimu.
 
Hakuna aya yoyote kwenye quran imeitaja lugha ya kiswahili

Ila kuna aya nyingi zimeitaja kabisa lugha ya kiarabu.

Ingekuwa ni yetu quran ingeandika nimeteremshwa kwa lugha yenu ya kiswahili kwa ajili ya waswahili wote
Kiongozi Injili iliandikwa katika lugha gani???
 
Nadhani mwalimu alirekodiwa na mtu aliyekuwa pembeni bila yeye kujua anarekodiwa.Imeibuka kasumba ya kurekodi kila kitu kwa watz tuwe waangalifu kuna watu wanatafuta hizo clip wapate umaarufu.
 
Huyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
mbona wewe unakwenda kanisani kusoma mambo ya waroma yanakuhusu nini?
 
Mimi mkristo tena mkatoliki!
Kuhusu kuwapa watoto adhabu
Naunga mkono hoja,sema kuna namna ya kumpa mtoto adhabu
Ila kwa siku hizi wazazi hawataki watoto wao waguswe au umchukue mtoto umwambie kachimbe shimo nk huo msala
Mitoto yenyewe inalelewa kilonyalonya .....

Ova
 
Huyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
Nakazia
 
Inaonekana huyo jamaa tapeli ni role model wako
 
Kabla ya kumuona mzazi kakosea ungeanza kwanza kutuambia sheria ya nchi inayompa mamlaka mwalimu wa dini kumchapa mwanafunzi wake.Tofauti na hapo mzazi yuko sahihi maana mahakama ndo chombo chakutafsiri sheria za nchi.Usite mihemko kwenye maisha ya watoto wawatu.
 
Mtume Muhammad alipigwa alipoambiwa na jibril soma sisi ndio nani hata tusipigwr?
 
Wahusika wajifunze kupembua pumba na mchele.

Waalimu wafukuzie mbali mitoto isiyo na nidhamu.
 

Sijaangalia video ila hata adhabu zina kiwango chake mfano kuna video iliwahi kutembea mitandaoni huko mwalimu(me) wa shule moja ya sekondari huko dodoma amemchapa mwanafunzi wake (ke) na kumuumiza vibaya mno vidole vyote vilikuwa vimevimba, alama mpaka mgongoni aisee kiukweli si sawa mi naona kuna alternatives ya fimbo ambayo mwanafunzi atajirekebisha mwenyewe.
 

“Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe”

Ni Nani anasimamia haya malengo kwenye kundi la makobazi? Ni ujinga sana, hata Kama ningekuwa mu Islam nisingempeleka mtoto madrasa, na Kama ningempeleka ningekuwa very close kusimamia!
 
Aliyechukua video inawezekana ni mwl mwenzie aliyechukizwa na huo ukatili. Kila mtoto anaadhibiwa lakin adhabu ikizid ni ukatili. Hiyo fimbo umeiona mzee
 
Huko ulaya kwenyewe mitoto mijeuri...kisa wanalindwa na sheria zao mitoto huko inajibizana na wazaz na mzaz ukimuadhibu mtoto, shuguli unayo

Ova
Ferre Gola alimchapa mwanae akaishia kufungwa miezi mitatu nchini Ufaransa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…