Mzazi ananilazimisha kwenda kidato cha Tano

Nakazia hoja. Wazazi wana nafasi kubwa sana katika kumwongoza mtoto wao ili baadaye awe na mafanikio makubwa zaidi.
Mtoto bado ana akili finyu (akili haijafunguka) na maono (vision) yake yanahitaji mtu wa kumwongoza, kumshauri na kumpatia maelekezo sahihi.
 
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe : ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21 nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha nifanyaje sasa ili niweze kwenda college kwasababu nataka nisome mambo ya designing
Kama anakulazimisha kwenda chuo kusomea sayansi msikilize,
Kama ana connections za kukupa baada ya kumaliza chuo msikilize
Kama ana mtaji wa kukupa baada ya kumaliza chuo msikilize
Kama ana biashara za kukuweka baada ya kumaliza chuo msikilize
Vingnevyo mpuuze tu.
 
Ungekuwa unaenda chuo kusomea kozi za skills za kueleweka. Kama ufundi magari, umeme,. Unesi , ufundi electronics,, Ningekusapoti.

Ila mambo ya kwenda chuo kusomea designing naona haupo serious na maisha.

Ni bora uende advance
Designing ya nini kwanza?
 
Sahihi kabisa
 
Mwenye ada ni mzazi. Usisikilize maneno ya waja na walimwengu hayatakupeleka popote. Nenda advance huku ukiifanyia research ndoto yako
 
Umesema kweli yote
 
You jad a chance to assist her to make a good choice man! Unadhani ni raha kumuona mwanao nyumbani hawezi hata kunununua vocha!
Haya mtoto ndio huyu anakwambia anataka akasome "design" wewe kama mzazi utamuelewa?
 
You jad a chance to assist her to make a good choice man! Unadhani ni raha kumuona mwanao nyumbani hawezi hata kunununua vocha!
Haya mtoto ndio huyu anakwambia anataka akasome "design" wewe kama mzazi utamuelewa?
Kwanza sijaelewa hio designing ni nini, ni fashion au nini?
Nitakaa nae chini kumsikiliza kwa nini anataka kusoma hiko anachohitaji, then nitamshauri, kama ni issue ya mavazi labda anapendezwa kujiajiri na kuanzisha baadae ofisi yake ambayo atakuwa anashona.

Kikubwa naamini sana kwenye kitu mtu anachopenda.
 
Hata mimi naamini katika kitu mtu anapenda ila kama mzazi lazima uwe na akili hasa pale unapoona mtoto hajielewi au amachagua vitu ambavyo havina future nzuri maana wengi wanafanya machaguo sio kwa kutumia utashi ila kwa kufwata mkumbo!

Bado narudi kwenye swali la msingi, wewe mwenyewe kama mzazi hujui hiyo "design" inahusu nini yet umekomaa kunshauri aende diploma yaani unamwambia akasome kitu ambacho hata wewe mwenyewe hukijui! Hii ni shida kwa kweli!
 
Nina uhakika kabisa kuna watu walikudanganya kuwa advance unapoteza muda , na hao mara nyingi ni wale waliofeli
Huwezi niambia mtu amepata div 1 au 2 tena kihalali kabisa alafu awe muoga kwenda alevo!

Kuna mawili either aliibia mtihani au anafwata mkumbo!
 
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe : ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21 nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha nifanyaje sasa ili niweze kwenda college kwasababu nataka nisome mambo ya designing
Ushauri wangu nikiwa kama mtu mwenye experience ya miaka kadhaa kwenye industry ya graphics design na printing kwa ujumla. Baada ya ongezeko na college uchwala nyingi kuanza kufundisha wanachokiita graphics design soko la ajira hii limebadilika sana ila kuna opportunity nyingi kama utakuwa ni mtu mwenye kujiongeza. Kuhusu swala lako la kusoma sikushauri kabisa upite hiyo shortcut, kubali uende form 5 ukibarikiwa kufika chuo kasome IT au mass media. Wakati upo chuoni ndio uwe unajinoa kwenye issue za design (graphic design, motion graphics, 3D design). Usisahau kukazia kwenye somo la ujasiriamali na ikiwezekana maswala ya marketing.

N.b hii fani bado ajira zake zipo kwenye mfumo wa ujamaa zaidi.
 
Acha hizo ww. Msikilize mzazi wako na halafu uwe mtiifu kwani hicho kidato cha nne ni sawa na kusema umefuta ujinga tuu; sasa nenda kasome.
Acha kumshauri hivyo mimi mwenyewe wazazi walitaka kunipeleka advance ila nilipitia kwenye mgogo wa mwanafunzi wa advance si virahisi kuajiriwa maana wazazi walitaka niajiriwe nikaona hapa ndio pakupitia so panga mistari ya kwenda nayo kwa wazazi na tafuta watu wakukusupport hasa ndugu wa karibu waliosoma wanao sifahamu faida za kwenda chuo badala ya advance
 
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe : ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21 nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha nifanyaje sasa ili niweze kwenda college kwasababu nataka nisome mambo ya designing

Naombeni msaada wa mimi mwenyewe : ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21 nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha nifanyaje sasa ili niweze kwenda college kwasababu nataka nisome mambo ya designing
Kama ada unaeza lipa, nenda tu. Mnatusumbua sana wazazi wenye fikra hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…