Mzazi ananilazimisha kwenda kidato cha Tano

Mzazi ananilazimisha kwenda kidato cha Tano

Unataka kuwa designer kama Noel bwabwa!??.... Kama ndio acha tu... Madisigner asilimi zaidi ya 70 ni mabwabwa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini Noel ni mwanasheria by professional.
 
Asante sana kwa maana nyakati hizi advanced imekuwa ngumu Sanaa nimeenda pre form five nimechoka mapemaaa mambo ni mengi yanaumiza kichwa
Kumbe hutaki advance kwa kuwa akili na uwezo wako ni mdogo? Ndo maana unakimbilia huko Designing? Aseeeh poleee sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bongo-Designers wa kiume-Upinde

Ukiunganisha dots utaelewa Kwanini mzazi amekomalia usome f5
 
bbfc7f8cf8724acdbed980bef232924b.jpg
 
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe : ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21 nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha nifanyaje sasa ili niweze kwenda college kwasababu nataka nisome mambo ya designing
Ordinary Diploma in Fashion design technology - DIT MWANZA CAMPUS
 
Kumbe hutaki advance kwa kuwa akili na uwezo wako ni mdogo? Ndo maana unakimbilia huko Designing? Aseeeh poleee sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Advance ni kwaajili ya wanaojiweza kiakili.
 
nakumbuka kipind nmemaliza form four nkataka nikapelekwe nisomee IT alooh kumbe nlkua nakomalia njaaa nngekua naburn cd mpka ningekoma bora nmekua fundi miguu

Ungekuwa unakiua hela za kudownload!! Teh teh teh. Uliacha kitu cha karne kinachotengeneza utajiri kuliko madini. Matajiri wa dunia ya sasa ni ma IT. Uliacha hela za kudownload kweli?
CD wana burn darasa la 7.
Kuna mshikaji anaishi hapo Posta kwa hraphic design. Na ni elimu ya short kozi.
 
Nenda chuo achana na hayo matakataka ya form 5&6 hayana maana katika ulimwengu wa sasa zaidi ya kupoteza muda, wazazi wasio jielewa ndio hao wasiojua dunia iko wapi wanalazimisha watoto waishi zama za ujima za miaka 20 iliyopita wakidhani elimu bado ni ile ile.

Huyo mzazi wako asipokuelewa mtafute mtu mzima mwenye busara amueleweshe ajue mambo yako vipi, ni vilaza pekee hupeleka watoto A-level kwenda kupoteza muda, na ukiwauliza elimu ya 5&6 ina manufaa yapi, hawajui zaidi ya kukalili ujinga.

Ni wakati sasa wa kufuta huu mfumo mbovu wa kupoteza muda masomoni ktk mambo yasiyo na maana.

Nenda chuo ukapate maarifa& vyeti, ikishindikana nenda hata VETA na sio hiyo takataka ya 5&6
Tukipata wazazi wenye akili kama wewe milion 2 TZ itabadirika.
Mimi mtoto wangu kasema anataka muziki eneo la dancing. Bagamoyo itamuhusu na nnampango nimtafutie wtaalamu wa mziki wa mitaani waanze kumfundisha na nimnunulie vifaaa, software nk. Anapomaliza lasaba awe wakau 30% ya skill anayoifikiria.
Nilikuwa na kipaji cha uumbaji wa vitu na ufugaji wanyama nikiwa mdogo. Vimepotea hivihivi. Nimejifunza carpentry ukubwani, bamboo craft, ukubwani, software designing ukubwani. kitu ambacho sio sahihi.
Elimu ya TZ ni kusukuma sukuma tu watoyo wavuke madarasa. Shule hakuna form za ufuatiliaji wa uwezo kwa tahasusi na vipawa vya watoto.
Nipo shule moja hio kazi yao ni kuamsha watoto kusoma, mchana kusoma, jioni kudoma. Usiku kusoma. Yaani ni kusoma, kusoma, kusoma. Upuuzi mtupu, majority of teachers ni non skillfull teachers kujaza mi "notes" kwa watoto tu. Nilichogundia kuna watoto wanavipaji vya muziki, sanaa na michezo. Kuna madogo wapo vizuri kwenye boxing lakini hakuna wa kuwaendeleza wala kujali. Tunajamii ya hovyo sana tena karne ya sayansi na teknolojia.
 
Ungekuwa unakiua hela za kudownload!! Teh teh teh. Uliacha kitu cha karne kinachotengeneza utajiri kuliko madini. Matajiri wa dunia ya sasa ni ma IT. Uliacha hela za kudownload kweli?
CD wana burn darasa la 7.
Kuna mshikaji anaishi hapo Posta kwa hraphic design. Na ni elimu ya short kozi.
ila angalia mkuu kuna ma it wengi tunao mtaani ni unga unga mwanantu sjui wana feli wapi sasa hawa 😂😂
 
Natamani kwenda chuo kusoma IT je ni sawa au bora advance maana napenda huko sana
 
Back
Top Bottom