She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,184
- Thread starter
-
- #721
Nlisoma nikajua vingi, havikunisaidia kituBaada ya kusoma wewe mwenyewe kitabu cha Seerah cha Imaam Muhammad ibn Is-haq, Sunan an-Nasaai cha Imam Abu Abdur Rahmaan Ahmad ibn Shu'ayb ibn 'Ali ibn Sinan an-Nasai, at-Tabari (Jami' al Bayan 'an Ta-wil al-Qur'an au Tarikh al Umam wal Muluk au kitabu gani?) vya Imaam Muhammad ibn Jarir at-Tabari, Sahih Muslim cha Imam Muslim ibn Hajjaj, Muqaddimah (Cha Ibn Khaldun?), ar-Raheequl Makhtum (the Sealed Nectar) cha Shaykh Safi ur Rahmaan Mubaarakpuri, nk nk... umefahamu chochote katika 'Aqidah ya Ahlus Sunnah na misingi ya Uislam, pamoja na misingi ya kielimu ee "Shaykha"?
Dah, hadi huruma[emoji26]Shida hapa kwetu ukiishi uhalisia wako lazima wakuone mara kibru mara dharau ilihali unaishi ukipendacho .
Sikatai wazazi wanatuzaa na pia wanatulea ila wana muda wa kuwa washauri tu sio kuwa mlazimishaji kwa kofia ya mzazi.
Nilipata kadada masikini kakanipenda sana basi mtoto wa mjini si nipo village nikawa nakavusha nakaleta maeneo .
Duh kumbe wanakijiji wamenilia timing basi wakaja kufosi siku moja nikaoe kwa lazima ati namuharibia maisha .
Nikasema sawa shida ikaanza kwa mama mzazi kumpigia simu bintiye mara mbona jana sijakuona kanisani ? Mara ooh kwahiyo sasa hivi umeamua kuvaa kama wauza bar?
Mwisho mdada wa watu akawa dillema anisikilize mimi au wazazi ila wazazi wakanishinda maana alikuwa sehemu za kwao .
Na mimi nikapata chance ya kusema sasa silipi mahari na binti yenu njoo mumchukue maana sasa ni kama bado mnaishi naye hamtaki amtii mme wake bwana MENEMENE TEKERI NA PERESI
Wakaja kumchukua binti yao na mim nikawa huru na maisha yangu .
Sasa nakaona kamekonda kameolewa na jamaa anaranda mbao ni baunsa sana hivyo anakanyonya mpaka kamekonda kamebaki kichwa tu.[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, tatizo anataka tuwe wote ibadani.Nimezaliwa familia ya Dini(ukristo) ule wenyewe.. Baba Mchungaji Mama Mwinjilist (unaweza pata picha)
hakunaga shkamoo kwetu ni mwendo wa (bwana asifiwe kwa sana)
ila pamoja na kulelewa maisha hayo tangu utoto,someshwa seminary tangu Kindergaten sikuwahi Penda kwenda kanisani.
Yani sipendi nachukia mno lakini nilikua naenda ili kuonyesha utiifu kwa wazazi,na kweli naenda kwa kujivuta ila nikirudi nakua na amani flani.
Kipindi kama ulichopo wewe kilinikuta nikawa staki sikia kanisani kabisa, sisi home kanisani sio mpaka Jumapili tu (kama ilivyo kwako).
Lakini nilichokua nafanya nilikua natoka Home napita kona ya kwanza ya pili ya tatu Yuleee,Harakatini zangu!
Mida ya kutoka ikifika najirudsha home,nani ameniona siri ni yangu na moyo wangu.
Umesema ni mtu mkubwa wewe,sasa unagombanaje na mzazi kwa case nyepesi ivyo? unapungukiwa nn ukiwa unamridhisha utoke uende (then usiende unaenda mishe zako) kisha unarudi home mida ikifika?
Ninataka kusema nini unajua? Usigombane na mama mpe anachotaka aone.. Mrithishe (kwani hujui danganyia toto na wewe)
Usimkasirishe mama,nenda nae sawa... (sio lazima kwenda kweli kanisani) ila hakikisha unatoka home kila jumapili useme unaenda kansani.
NOTE:
Ukienda kanisani kuna ka raha unakapata japo ni jambo linahitaji uridhie kweli na moyo wako.
Binafsi hata mimi wanangu ntawaforce kwenda kanisani, Ukiwa mkubwa utaona na utajua umuhimu kwann mama alikua akikusisitiza kwenda kanisani. Sasa hivi huwezi elewa ila Sitoacha Mshukuru Mungu kwa kunipitisha kwa WAZAZI alioamua wawe baba na mama yangu.
Una MAMA mzuri sana,utagundua uzuri wake ukikua mkubwa.
Ndiyo hivyo muda huo kabinti bado kananipenda sana wanakachukua kanalia ila sasa nitafanya nini ? Na wale ndiyo wazazi yaani ni upuuzi sanaDah, hadi huruma[emoji26]
Thankssishauri kwa kufuata dini ila logic tu ya kawaida. usipoteze nguvu nyingi kupambana na mzazi kwenda kanisani. hiyo nguvu ipeleke kwenye kutafuta kazi ili upate means za kuanza kujitegemea mapema. nina dada yangu kwetu tupo wasichana tupu yeye naye alivyofika umri wa chuo akawa hapendi kwenda kanisani ila hakuwa atheist alitaka tu kwenda lutheran. tumeishi mda wote anatii ya wazazi ila kaja kupambana baada ya kumaliza chuo katafuta kazi akaanza kusave hela zake. siku kaomba kikao na wazazi akasema mimi naomba kwa sasa nihame nataka nianze maisha ya kujitegemea hapo anaongea hivyo ni mtu ambaye anatoa support pale nyumbani kwenye issue za pesa. wazazi walisikitika kiasi ila wakamwachilia akaenda. ni miaka 6 sasa tangu ameondoka anaishi kwake alikuja kuolewa hukohuko alikoenda ana familia. sie tuliobaki tukaja kuondoka nyumbani baada ya kuolewa. kwa hiyo mdogo wangu we pambana tu kiuchumi ujitegemee mapema until then....
Dah, ila waafrika ni kama tulilaaniwa yani. Tuna maimani ya ajabu sana. Bado tunaishi kama wanyamaNdiyo hivyo muda huo kabinti bado kananipenda sana wanakachukua kanalia ila sasa nitafanya nini ? Na wale ndiyo wazazi yaani ni upuuzi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungumzia uhuru wakati wewe bado ni KULA BURE,KULALA BURE?Hama hapo nyumbani, jitegemee halafu fata msimamo wako.Tegemezi hana uhuruishu sio mimi kuamini au kutoamini, huo ni uamuzi wangu binafsi kwasababu nimeshazidi 18 na nina uwezo wa kupambanua.
ishu ipo kwenye uhuru wa kuabudu. Kwanini tulazimishane?
Wewe dini yako inaruhusu kulazimisha mtu kuiamini?Unazungumzia uhuru wakati wewe bado ni KULA BURE,KULALA BURE?Hama hapo nyumbani, jitegemee halafu fata msimamo wako.Tegemezi hana uhuru
Pengime hapa ndipo tatizo lilipo,amejikuta tu anahamishwa Makanisa kila kukicha na Mama yake.Ile foundation ya mwanzo kabisa imeshavurugwa.Sina uhakika kama Kanisa la Mwamposa lilikuwepo 20 yrs ago.Kabla ya huku mlihudhuria wapi?
Mimi nimekuelwa baada ya kusema mnasali kwa Mwamposa.Je kabla ya kwa Mwamposa mlisali wapi?Wewe dini yako inaruhusu kulazimisha mtu kuiamini?
Sometimes muwe mnafatilia mambo kwanza b4 hamjafanya maamuz, je umesoma maandiko vizuri na ku correlate na maisha ya kila siku. Kama kweli Mungu asingekuepo wa2 wangeshapuuza zamani God is real na kama huamini endelea kupuuza, destruction is on your cornerMambo vipi wakuu,
Nimemaliza chuo mwaka jana, I am 24. nipo nakaa hapa nyumbani ila kuna tatizo la kiimani.
Mom analazimisha kila jumapili niende kanisani.
Kiuhalisia mimi saivi sina imani kabisa na kanisa au maswala ya Mungu naona kama ni utapeli na mambo ambayo binadamu walitengeneza tu hayana ukweli wowote.
Sasa nikaanza kamgomo kangu baridi ka kutoenda, kila ikifika j'pili nakuwa na kisingizio tofauti, mara naumwa, sijiskiii etc.
Sasa imeenda hivyo mwishowe mama akaamua anifungukie kuwa as long as bado naishi chini ya paa lake, kwenda kanisani ni lazima. Akajaribu kunidadisi kwanini sipendi kwenda, Mimi nkaona kabisa nikimwambia siamini tena maswala ya dini atapata presha bure.
Nkawa namuambia kuwa siamini katika kusali kanisani maana Mungu yupo moyoni na naweza kumuomba siku yoyote iwe juma3 au juma4, na nkamuambia kama biblia nnayo kwenye simu naisoma kila siku na nasali kila siku.
ila akawa haelewi anasema biblia inasema "wakutanapo wawili kuna Mungu...bla bla bla"
Sasa mimi nkamuambia "Nikuambie tu sasa ukweli, Mimi naona ibada ni kati yangu na Mungu wangu wala sio kati yangu mimi na wewe na mungu. Kwahyo kama unanilazimisha kwenda kanisani, ntaenda ili nikufurahihishe tu, ntakuwepo kimwili kanisani ila kiroho na kiakili sitakuwepo kanisani"
Akaanza kusema niende kwa ajili yangu sio kwa ajili yake
Nkamuambia "sasa mimi sijawiwa kwenda, ila wewe ndo umenlazimisha nifanyeje?"
Akakaa kimya. ila siku hiyo alikasirika siku nzima na ilikuwa jumapili akaanza mpaka kusema "Mimi ningekuwa na nyumba nyingine ningeenda kuishi nikawaacha maana haina maana kukaa na watu hamnitii"
Mimi nikamuambia "Lakini mama, Swala la kanisani sio la utii kwako, ni la kwangu na Mungu na wala hutakiwi kunilazimisha"
Akasema "Sisi ndivyo tulivyolelewa, na watoto wangu wote nimewakuza hivyo mpaka leo wanasali, wewe ndio unataka kupinga siwezi kukubali. Subiri ujitegemee ndiyo ukaidi, ila as long as bado upo chini yangu kanisani ni lazima"
Nikaendelea kutokwenda kibishi kibishi tu.
Lakini housegirl ndio siku moja akaja akayatibua tena..Tumemaliza kula usiku mara akaanza kusema kabla hatujalala ana jambo la kuniambia pale sebuleni.
Housegirl: "She, leo nikuambie tu mbele ya mama hapa, hili swala linaniumiza mno. mkubwa anakuambia kitu halafu unakaidi. Sio vizuri na leo imenifika shingoni lazima nikuambie. Sio vizuri unapomkaidi mama yako na kupinga kwenda kanisani au kwenda kwa kuchelewa sana.Huyu ni mkubwa na mkubwa akisema kitu wewe mtoto unatakiwa ufuate. Mungu anakupima, huenda ukimtii na ukaenda kanisani utafunguliwa hata mambo yako mengi kama kupata ajira"
Ukawa mjadala mrefu sana pale wakisapotiana na mama.
Sasa mimi nikaona hii ishakuwa kesi, ila nikaona usiwe ubishi usio na faida pale sebuleni, maana hata niseme kwa lugha ipi, hata niongee kigiriki na kiyunani. Hawa watu hawawezi kunielewa. Ni kwamba wako brainwashed na dini ya mzungu mpaka stage kwamba mimi ndio wataniona punguani.
Sasa nkamuangalia mama nkaona kama anaumia moyo sana kwa ajili yangu na kisa ni kwenda kanisani tu.
Isiwe kesi sana
Ikabidi sasa nitumie hekima tu niwajibu "Nimewasikia, Mungu hutumia watu wake kufikisha ujumbe, na leo amewatumia nyie kufikisha ujumbe kwangu. Kwahyo nimesikia na kwa utiifu kuanzia sasa nitaanza kwenda kanisani Amina"
Lakini kanisani naenda na simu, nakaa nyuma nachati ibaada nzima hadi muda wa kuondoka hata ukiniuliza muhubiri alikuwa jinsia gani au alikuwa amevaa nguo gani au amehubiri nini wala sijui.
Yani sipendi kabisa naona kama napoteza tu muda wangu huko.
Ikifika jumapili nakosa raha kabisa kwasababu hiyo.
Sasa wakuu, naombeni ushauri wenu, Nipo sahihi? Au nisimamie msimamo wa kutoenda? Au niendelee kwenda kwa kuwafurahisha tu? Au niwaambie nimeasi kabisa?
Nani yuko sahihi hapa, kati yangu na mama?
But as for those who disbelieve, for them is fire of hell; it taketh not complete effect upon them so that they can die, nor is its torment lightened for them. Thus We punish every ingrate.Yes, I ama a proud kafiri
Haujanielewa.You have an independent mind,contrally to what others believe.Good.Hautaweza kuishi huru kama Bado uko chin ya himaya ya mama.HAMA,JITEGEMEE.OTHERWISE,FUATA ANACHOTAKA MAMA MPAKA HAPO UTAKAPOJITEGEA.Nyumbani kwenu no himaya ya mama,si yako.Na Kila mtu ana haki kuweka Sheria na taratibu kwenye himaya yake.Hili ni swala la logic ndogo tu.Nashangaa kwanini hautaki kuielewa na unashikiria hiyo sentesi ya mama kulazimisha uamini anachoamini.Hata hivyo ni maisha Yako na huyo no mama Yako ,amua unachoona kitafaa.Wewe dini yako inaruhusu kulazimisha mtu kuiamini?
Umeandika ushuzi mtupu.Nini kinachomfanya mama yako afurahi kwa kukuona tu umefika kanisani kwake?? Kuna tofauti gani na mlevi anayekunywa bia na kusikia raha??
Eti "nikajua vingi". WakanaMungu bhana. Hujajua kitu kuhusu Uislam bado.Nlisoma nikajua vingi, havikunisaidia kitu
msikitiniMimi nimekuelwa baada ya kusema mnasali kwa Mwamposa.Je kabla ya kwa Mwamposa mlisali wapi?
I respect your opinionSometimes muwe mnafatilia mambo kwanza b4 hamjafanya maamuz, je umesoma maandiko vizuri na ku correlate na maisha ya kila siku. Kama kweli Mungu asingekuepo wa2 wangeshapuuza zamani God is real na kama huamini endelea kupuuza, destruction is on your corner