Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

hahahaaa unaweza kupewa mupesa mingi halafu ukawa hukunwi kunakotakiwa........sa katafuta mukaka wa kumukuna
Kama hakukuni ipasavyo, kwa nini usimfundishe namna ya kukupatia? Huyo ni wako, vunja ukimya, sema naye! Achana na uzinzi, utaleta maradhi ndani!
 
Simpo! we fanya vyovyote unavyona inafaa, kama una mihela na unampenda huyo jamaa basi sepa zako ule naye maisha, ukimchoka huyo unapata mwingine tena life goes on!
 

Ungekuwa karibu yangu ningekulamba kofi...!
 

Muda si mrefu tutasoma kwenye magazeti tukio jingine la risasi kurindima kwenye vichwa vya watu...
 
Haha ..! Na kweli kitakunwa ,
Nipo @ blaki womani si mmenitupa jamani.
Hata kuni inbox kunijulia khali !!

haya majanga ya mkunwa na mkunwaji yatapungua lini kama sio kwisha kila mmoja anataka kuwa na kidumu biashara ya bastola itaongezeka
eehh mtakatifu hatupwi unatakiwa kuwa katibu naye upate baraka
 
Sijui nikutusi? Unatia hasira na kinyaa!
 
haya majanga ya mkunwa na mkunwaji yatapungua lini kama sio kwisha kila mmoja anataka kuwa na kidumu biashara ya bastola itaongezeka
eehh mtakatifu hatupwi unatakiwa kuwa katibu naye upate baraka

Amen dada yangu.
Naona siku hizi bastola zinafanya kazi.
Kuna thread moja huko kigoma sijui singida jamaa baada ya kuachwa yeye kajipiga risasi ya bega. Nimecheka kama nini . Nikajiuliza huyu ina maana hajui kichwa chake kilipo
 
Unaomba ushauri wa jinsi ya kuendelelza umayala...!!!!!!!
 
hili UMELIKOROGA na ulinywe PEKE YAKO!
 


asilimia kubwa watu hufanya u....ma....l* ya kwa ajili ya kipato.mi nadhani ukafilie mbali tu na huyo >?<<::">&*& wako
 

Huyo mbamba watoto ni Muchagga? Sumbiri Marisasi ya mutako!
 
Ushauri wa nn wewe?
Unajua ulitendalo ww usituumize kichwa.
Ww unataka msamaha na hutaki kutubia dhambi zako hilo uleliona wapi?
Hata km mume wako akusamehe ila bado laana za mungu zitaendelea kua nawe hadi unatiwa kaburini.
Ushinde na ulegeee
 
The other man mtaendelea kwa siri sana!jiandae kupata kiwanja makaburini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…