Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

Kama hakukuni ipasavyo, kwa nini usimfundishe namna ya kukupatia? Huyo ni wako, vunja ukimya, sema naye! Achana na uzinzi, utaleta maradhi ndani!
Na kweli, kama nyama unaipika unavyotaka iwe, kwa nini mume usimuweke unavyotaka awe..???
 
Hii ni story ya kutunga. Ufumaniwe halafu uwe na guts za kuja kuweka uzi hapa.

Acha kutupotezea muda Bwana!!!!!

Tiba
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

Yaani we bibie kilaza sana eti mie geologist nalipwa hela nzuri.. mbona haina connection na stori yenyewe.afterall stori ya uwongo hakuna mwanaume mjinga kiasi hicho lazima angelamba kabang ya huyo chalii wako
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.
anamiliki bastola??
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

Pia unalipwa hela nzuri with reference to who....
 
Zahra White,
Ni sawa tu kuota ndoto lakini usipende kuota mchana. Yaweza jirudia usiku ukapiga yowe bure. Kama kweli angekufumania weye leo ungekuwa faragha.
Kwanza ungetuambia alivyokufungia nyuma ya hiyo Gari na huyo kijogoo wako mkiwa uchi wa mnyama, tena bila hata miwani na kama ni Darisalama awaweke pale mnazi mmoja tangu asubuhi mpaka jioni watu wawaone.
Usithubutu kujibalagaza na vidume. Huenda unatamani kijana fulani hapo kazini kwako au huenda amekuja digger mmoja akitaka leseni na kukudanganya kuwa ana mafafakio. Mwone kama kaa la moto usimvulie hiyo nguo takatifu hata kwenye choo cha ofisi.
Mke wa ntu chumu mubaya
 
Ushauri ni kwamba Acha uzinifu.Na muogope Mungu.
Kama ni muislam hukumu yako mpaka hapo ni kifo.
Pesa ni mapito na wapo walippata pesa kuliko wewe na wametulia kwenye ndoa zao.
Mwisho Kapime ukimwi
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

Yaani pamoja na kufumaniwa bado unaendelea kwa siri na huyo aliyekuzuzua?! Hakika hiyo ngozi haisikii maumivu ya roho yako. Ushauri wangu ni kwamba huyo uliyeanza naye mahusiano ya siri huyo, atakupa ushauri ulio wa uhakika maana umekufa umeoza lakini hunuki kwake.
 
Hakua na Bastola alipowakuta au yeye hawajui kina mushi ,minisi,massue,masawe na kimaro
 
Ninaanza kwa simulizi. Kwa Wakristo, nitasemea kwa Wakristo ambavyo Ukristo ni dini yangu. Kuzaa nje ya ndoa ni kosa linalopelekea mkosaji kutengwa na kanisa (dhehebu) lake. Ili kurejeshewa Ukristo wako inakubidi ufuate taratibu zilizowekwa na kanisa, mojawapo ni kutubu dhambi zako na kuahidi hutarejea tena kwenye hiyo dhambi. Dada mmoja ambaye kwa bahati mbaya hakuolewa, alipata mimba ya kwanza na baada ya kujifungua alienda kanisani kwake kuomba kurejeshwa kundini. Mchungaji alifanya hivyo. Baada ya mwaka mmoja yule binti akapata mimba nyingine, na baada ya kujifungua alirudi tena kanisani kuomba kurejeshwa kundini, mchungaji yule yule alifanya hivyo tena na akarejeshwa kundini. Kama ada baada ya mwaka mmoja tena yule binti akabeba mimba nyingine. Baada ya kujifungua alienda tena kanisani kutaka kutubu na kurejeshwa kundini. Bahati mbaya au nzuri alimkuta mchungaji yule yule. Mchungaji alimpa ushauri kuwa KULIKO KUENDELEA KUMDHIHAKI MUNGU, AFADHALI AMALIZE KWANZA BIASHARA YA KUZAA, AKIRIDHIKA KUWA HATABEBA TENA MIMBA NJE YA NDOA NDIPO AKATE SHAURI AENDE KUTUBU ONCE AND FOREVER. Wewe White unatuletea dhihaka. Unataka usamehewe lakini hutaki kukiacha kilichowakosanisha. Subiri UMUSHI na UMUNISI ukukute.
 
Yaani we binti unasikitisha imebidi nicheke kwa dhihaki japo nina mastress yangu ya maisha...elimu yote hio unayojigamba nayo unafanya upuuzi kama huo!what non-sense!!!!utakula matunda ya uzinifu wako sasa!mnatutia aibu wanawake tuloelimika!
 
Yaani we binti unasikitisha imebidi nicheke kwa dhihaki japo nina mastress yangu ya maisha...elimu yote hio unayojigamba nayo unafanya upuuzi kama huo!what non-sense!!!!utakula matunda ya uzinifu wako sasa!mnatutia aibu wanawake tuloelimika!

nifanyeje?
 
Back
Top Bottom