Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Sisi masikini ndio tunaosema urithi wa elimu ni bora zaidi; ila viongozi na matajri wanawarithisha mali na vyeo.Kugharamika sio tatizo, ila Urithi wa Elimu ni bora kuliko urithi wa nyumba na magari.
Umri wa mtoto ni wakuanza shule, na mimi kama Baba hilo ni jukumu langu, na pendekezo langu ni Nursery.Mhamishe mama na mtoto....umri wa mtoto ni wa kukaa na mama mzazi
Kweli kabisa serikalini hakuna elimu bora. Kama ipo basi tungewaona watoto wa Mawaziri wakisoma shule hizo. Tusijizime data kuhusu ubovu wa elimu katika shule za msingi za Serikali.Mimi naamini serikali hakuna elimu bora.
Hizo mali bila Elimu zitaendelezwa vipi?Sisi masikini ndio tunaosema urithi wa elimu ni bora zaidi; ila viongozi na matajri wanawarithisha mali na vyeo.
Tunapo wambia kuzaa na kuacha ni shida kubea huwa hamuelewi.Habarini ndugu
Mimi na mzazi mwenzangu bado hatuna ndoa, ila tumebahatika kupata mtoto mmoja, kwa sasa wamerudi mkoani baada ya kuja na kukaa nyumbani kwetu kwa lengo la kumleta mtoto familia yangu imtambue.
Baada ya mtoto kufikisha miaka mitatu na nusu, nikamwambia mama yake itabidi mtoto aanze shule, na natamani mwanangu arudi Dar asome shule nzuri na ya kisasa.
Mzazi mwenzangu anadai hawezi kuruhusu hilo, ni afadhali mtoto abaki kijijini asome shule za kawaida (serikali). Nikamwambia utamsomesha wewe huko, mimi nilitaka aje Dar asome shule nzuri na tofauti na hapo sitahusika na maswala ya shule endapo atasoma tofauti na nilivyotaka.
Nadhani labda bado anachuki au kinyongo dhidi ya familia yangu, lakini hajui Elimu bora ina faida kwa mtoto na maisha yake ya baadaye, sio mimi wala yeye.
Je ni sahihi nikikataa kutoa huduma za shule endapo atasoma kijijini? Kwani lengo langu lilikuwa aje asome Dar, akae na Bibi yake (Mama yangu) na yupo tayari kwa hilo.
pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Huo ni ukweli ambao wengi hawataki kuusikia, Elimu bora ni gharama.Kweli kabisa serikalini hakuna elimu bora. Kama ipo basi tungewaona watoto wa Mawaziri wakisoma shule hizo. Tusijizime data kuhusu ubovu wa elimu katika shule za msingi za Serikali.
Elimu inakuwa kama kupaka mafuta tuHizo mali bila Elimu zitaendelezwa vipi?
Hakuna aliye tekelezwa, kama ni huyo Mama mtoto, basi alijitelekeza mwenyewe kwa matakwa yake.Tunapo wambia kuzaa na kuacha ni shida kubea huwa hamuelewi.
Kijana unajiona una hela unapiga huku. na huko unazaa hovyo unatelekeza unajifanya unampenda mtoto
Mali bila daftari........Elimu inakuwa kama kupaka mafuta tu
Sawa......lakini ulipozaa naye alikuwa Pisi kali ila sasa hivi??Hakuna aliye tekelezwa, kama ni huyo Mama mtoto, basi alijitelekeza mwenyewe kwa matakwa yake.
Hiyo ni misemo ya kimasikini; matajiri wote unaowaona waliandaliwaMali bila daftari........
Mimi mtoto wangu sijui atakuwa tajiri au maskini, lakini naogopa baade akinilaumu kwamba nimeshindwa kumpa Elimu bora.Hiyo ni misemo ya kimasikini; matajiri wote unaowaona waliandaliwa
Nadhani baba wa mtoto yuko sahihi sana na ana maono ya mbali sana, lakini pia hata na wewe sio kwamba una maoni mabaya, nawe pia uko sahihi tu.Habarini ndugu
Mimi na mzazi mwenzangu bado hatuna ndoa, ila tumebahatika kupata mtoto mmoja, kwa sasa wamerudi mkoani baada ya kuja na kukaa nyumbani kwetu kwa lengo la kumleta mtoto familia yangu imtambue.
Baada ya mtoto kufikisha miaka mitatu na nusu, nikamwambia mama yake itabidi mtoto aanze shule, na natamani mwanangu arudi Dar asome shule nzuri na ya kisasa.
Mzazi mwenzangu anadai hawezi kuruhusu hilo, ni afadhali mtoto abaki kijijini asome shule za kawaida (serikali). Nikamwambia utamsomesha wewe huko, mimi nilitaka aje Dar asome shule nzuri na tofauti na hapo sitahusika na maswala ya shule endapo atasoma tofauti na nilivyotaka.
Nadhani labda bado anachuki au kinyongo dhidi ya familia yangu, lakini hajui Elimu bora ina faida kwa mtoto na maisha yake ya baadaye, sio mimi wala yeye.
Je ni sahihi nikikataa kutoa huduma za shule endapo atasoma kijijini? Kwani lengo langu lilikuwa aje asome Dar, akae na Bibi yake (Mama yangu) na yupo tayari kwa hilo.
pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Mimi mtoto wangu sijui atakuwa tajiri au maskini, lakini naogopa baade akinilaumu kwamba nimeshindwa kumpa Elimu bora.
Mkuu matendo ya huyu binti ndyo sababu ya kutengana naye, sio kama nilimtelekeza bila sababu.Sawa......lakini ulipozaa naye alikuwa Pisi kali ila sasa hivi??
Mkuu sio kwamba nakusakama hapana. Nataka na vijana wengine wasirudie makosa tuloyofanya mimi na wewe. I hope you take it postive.
Sio wewe wala sio mama yake. Kisaikolojia mtoto akiwa mdogo inashauriwa akae na mzazi wa kike. Nenda ustawi wa jamii uombe ushauriNitambomoa mimi au mama yake? Akimpeleka kwa Baba mwingine ndyo atajenga au kubomoa?
Mimi nataka nimuokoe mtoto, aishi vizuri na kwa amani, asome vizuri na kwa usahihi.
Umesema vyema mkuu, kweli elimu bora ni muhimu kwa malengo ya baadaye, na naamini hatuwezi fikia pabaya kama wazazi, tutapata suluhisho juu ya hili, na mwisho mtoto lazima asome shule nzuri.Nadhani baba wa mtoto yuko sahihi sana na ana maono ya mbali sana, lakini pia hata na wewe sio kwamba una maoni mabaya, nawe pia uko sahihi tu.
kupanga ni kuchagua. Mnaweza kukubaliana shule ya msingi akasoma huko kijijini na sekondari au chuo akasoma mjini. Japo elimu na shule nzuri ziko mahali kote Tanzania..
hivi sasa elimu imeimarika sana kuanzia vijijini huko ndrani ndrani kabisaa. watoto wanasoma vizuri na wanafaulu vizuri sana.
hakuna sababu hata moja ya kupambana kwenye hilo, akishaandikishwa shule tu inatosha na sehemu ya gharama za kumuhudumia mtoto inabebwa na serikali na sehemu nyingine kidogo hakuna mlezi au mzazi ana weza kushindwa kumuhudumia.
Ni muhimu sana kama wazazi kuepuka kumuadhibu mtoto kulingana na tofauti zenu. Kila moja awajibike kwa nafasi yake kadiri ya Neema na Baraka za Mungu, kijana asome kwa uhakika na amani na hapo mtakua mmemtendea haki kijana wenu.
Vinginevyo,
niwapongeze sana kwa namna ambavyo mmeonyesha umuhimu wa elimu kwa mtoto wenu licha ya kutofautiana mawazo na mtazamo ya kwamba akasome wapi..🐒
God bless you wazazi
Mpaka nimeweka nia ya kumpeleka shule, means najua gharama nitazikabili vipi.Kabla ya kumpa elimu ya gharama kubwa, hakikisha kwa upande wako umeshajikomboa kiuchumi. Yaani unavitegea uchumi vinavyoeleweka.
Nafahamu hilo, lakini naamini busara binafsi za pande zote mbili zinaweza kutoa suluhisho katika hili.Sio wewe wala sio mama yake. Kisaikolojia mtoto akiwa mdogo inashauriwa akae na mzazi wa kike. Nenda ustawi wa jamii uombe ushauri
Oya wee, we unazingua, aliekwambia elimu nzuri inapatikanai Daslam ni nani???? Mtoto huyo bado mdogo anahitaji uwepo WA mama, Sasa kwanini umlete akae na bibi wakati mama Yuko hai???? Embu toa pesa mtoto akasome, elimu nzuri elimu nzuri, elimu nzuri Iko Kila pahala ni vile tu watoa elimu wanavyoitoa. Funguka weqeHabarini ndugu
Mimi na mzazi mwenzangu bado hatuna ndoa, ila tumebahatika kupata mtoto mmoja, kwa sasa wamerudi mkoani baada ya kuja na kukaa nyumbani kwetu kwa lengo la kumleta mtoto familia yangu imtambue.
Baada ya mtoto kufikisha miaka mitatu na nusu, nikamwambia mama yake itabidi mtoto aanze shule, na natamani mwanangu arudi Dar asome shule nzuri na ya kisasa.
Mzazi mwenzangu anadai hawezi kuruhusu hilo, ni afadhali mtoto abaki kijijini asome shule za kawaida (serikali). Nikamwambia utamsomesha wewe huko, mimi nilitaka aje Dar asome shule nzuri na tofauti na hapo sitahusika na maswala ya shule endapo atasoma tofauti na nilivyotaka.
Nadhani labda bado anachuki au kinyongo dhidi ya familia yangu, lakini hajui Elimu bora ina faida kwa mtoto na maisha yake ya baadaye, sio mimi wala yeye.
Je ni sahihi nikikataa kutoa huduma za shule endapo atasoma kijijini? Kwani lengo langu lilikuwa aje asome Dar, akae na Bibi yake (Mama yangu) na yupo tayari kwa hilo.
pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara