Kutochovyachovya ovyo kwa tamaa za mwili, kumchunguza vizuri mwanamke kabla ya kuamua kuwa naye. Kukubali kwamba kuna wanawake fulani hawaendani nao na kuwaepuka hao.Unashauri vijana wafanyaje
Nani amekuambia huu ni msala? Hakuna kitu kama hicho, hakuna msala wala tatzo lolote... Maisha yanaendelea na mtoto lazima asome.Ndiyo maana unaishia kupata misala kama hii.
Umeharibu, nikiwaambia wengine wasiharibu kama wewe unasema hapo poa tu.
Form 4Ni shida kwa mama yake ndio maana anagoma. Huyu mzazi mwenzio ana level gani ya elimu? Maana tuelewe kwanza.
I understand, but damu nzito kuliko maji.Badomdogo sana kumtenganisha na mama yake kwa kigezo cha elimu. Mpe elimu akiwa huko huko walipo
Huoni kwamba wewe kuzaa ovyo na kuwa na migogoro na unayezaa naye, mwanamke mjinga, kutokuwa na mwanao, kuhofia kuhusu elimu ya mwanao, mpaka kufikia haja ya kuleta maisha yako hayo hapa JF kuna sehemu kuna tatizo?Nani amekuambia huu ni msala? Hakuna kitu kama hicho, hakuna msala wala tatzo lolote... Maisha yanaendelea na mtoto lazima asome.
Kwani shule watoto wanaenda kufanya nini mkuuMtoto wa miaka mitatu anaenda shule kufnya nini mkuu
Kama tatizo lipo basi lipo kichwani mwako na Judgment zako, Binafsi mapambana mtoto asome vizuri.Huoni kwamba wewe kuzaa ovyo na kuwa na migogoro na unayezaa naye, mwanamke mjinga, kutokuwa na mwanao, kuhofia kuhusu elimu ya mwanao, mpaka kufikia haja ya kuleta maisha yako hayo hapa JF kuna sehemu kuna tatizo?
Huoni tatizo hapo?
Unaji contradict.Kama tatizo lipo basi lipo kichwani mwako na Judgment zako, Binafsi mapambana mtoto asome vizuri.
Kuhusu kuzaa hovyo, ni maamuzi yangu na mwili wangu, na wewe kama unataka njoo nikuzalishe.
Lazima nizae kwani uwezo wa kuzalisha na kutunza ninao.Unaji contradict.
Sasa kama hakuna tatizo kwa nini unapambana?
Wewe usipoangalia utazaa tena na mwanamke mjinga mwingine atachukua mtoto tena halafu utarudi tena kulialia hapa.
Maana umeharibu halafu unakataa kukubali kwamba umeharibu.
Unasemaje Mkuu ???Muwe mnamwaga nje, kama ndom hamziwezi.....
Huna uwezo wa kutunza ndiyo maana unakuja kulialia hapa usaidiwe kumlea mwanao aliyechukuliwa na mwanamke mjinga.Lazima nizae kwani uwezo wa kuzalisha na kutunza ninao.
Hakuna nilicho haribu, hakuna nilicho shindwa kutimiza kwa mwanangu.
Mimi naona tatizo umri wa mtoto miaka 3 anatakiwa kulelewa na mama yake.Sio kwamba namkomoa, hata yeye ana elimu kiasi, lakini bado ana chuki kwanini sijamuoa, na mimi siwezi kuoa mwanamke mshirikina.
Mimi pia sikutamani mwanangu aishi mbali na wazazi wawili, na nilidhamiria kumuoa mama yake.Haya maisha ya namna hii ndio huwa nayachukia wakati wote na ninamuomba Mungu isije kuwa namna hii. Baba mashariki, mama magharibi, mtoto kusini. Athiriko kubwa ni kwa watoto.
Mimi nashauri tu kwamba msisimamie tu hisia zenu bali muangalie hisia za mtoto pia kabla hajakomaa na kuyajua mambo.
Mkuu naelewa kuhusu Umri, umesema kweli kwamba nisubiri angalau 5yrs...Mimi naona tatizo umri wa mtoto miaka 3 anatakiwa kulelewa na mama yake.
Subiri miaka angalau 5 ukaombe kumlea wewe.
Kuhusu elimu bora mjini upo sahihi.
Je, alishawahi kukuomba msamaha?Lakini huyu mwanamke alinikosea na tukatengana, ila naamini mtoto atakua vizuri na kwa amani na furaha tele.
Hajawahi, wala hajawahi kukubali kosa.Je, alishawahi kukuomba msamaha?
Fumba macho kaka. Watu kama hawa wapo. Yeye hata kama amefanya kosa na anajua kabisa kuwa amefanya kosa, hawezi kukubali ila huwa tunaendelea na maisha kwa sababu ndivyo alivyo na unakuta yeye mwenyewe anafunguka baadaye, anasema "kwa kweli nilikukosea, naomba unisamehe".Hajawahi, wala hajawahi kukubali kosa.
(KIBURI)
Sio tu alitenda kosa, bali niligundua ana nia mbaya juu yangu, mengine siwezi kusema hapa, sio tu alinikwaza mimi, bali hata mama yangu alimkosea sanaFumba macho kaka. Watu kama hawa wapo. Yeye hata kama amefanya kosa na anajua kabisa kuwa amefanya kosa, hawezi kukubali ila huwa tunaendelea na maisha kwa sababu ndivyo alivyo na unakuta yeye mwenyewe anafunguka baadaye, anasema "kwa kweli nilikukosea, naomba unisamehe".
Hebu fikiria, umepata mwanamke mwingine naye akafanya hivo hivo na wakati ushamzalisha tayari. Je, utamuacha kwa sababu kakataa kukiri kosa? Msamaha huwa haulazimishwi. Ukiona umemlazimisha mtu msamaha na akaomba msamaha, hapo ujue upendo ni haba.