Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Habarini wana Jamvi.
Mwaka 2022 nikiwa site za barabara huko Malinyi ndani ndani mkoani morogoro ilitokea Nikazaa na Binti mmoja wa kisukuma (Alikuwa na Mzigo balaa) ili hali nina mke na mtoto ilikuwa ni ajali kazini.
Nahudumia mtoto ina Bima hii mbovu mbovu ya NHIF nimemkatia ila katikati apa nikawa simpati kumbe bana katoroka na mtoto kamuacha kwa bibi yake Yeye kaenda kuolewa kusikojulikana.
Leo Asubuhi Mtendaji wa kile kijiji kanitumia msg kwakuwa alikuwa Mshkaji wangu nanukuu "Eng mtoto wako anaishi kama Chokoraa muda mwingi anashinda mtaani akiranda randa fanya juu chini umchukue" kiukwel roho imeniuma na Home wife hajui huu msala naumalizaje.
Waliopitia hii Changamoto mlitokaje?
Mwaka 2022 nikiwa site za barabara huko Malinyi ndani ndani mkoani morogoro ilitokea Nikazaa na Binti mmoja wa kisukuma (Alikuwa na Mzigo balaa) ili hali nina mke na mtoto ilikuwa ni ajali kazini.
Nahudumia mtoto ina Bima hii mbovu mbovu ya NHIF nimemkatia ila katikati apa nikawa simpati kumbe bana katoroka na mtoto kamuacha kwa bibi yake Yeye kaenda kuolewa kusikojulikana.
Leo Asubuhi Mtendaji wa kile kijiji kanitumia msg kwakuwa alikuwa Mshkaji wangu nanukuu "Eng mtoto wako anaishi kama Chokoraa muda mwingi anashinda mtaani akiranda randa fanya juu chini umchukue" kiukwel roho imeniuma na Home wife hajui huu msala naumalizaje.
Waliopitia hii Changamoto mlitokaje?