de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 2,044
- 4,558
Nilikua namzungumzia mwanaume!Soma vizur apo,, mwanamke kaacha mtoto kisha kaenda kuolewa uko mbeleee
Kweli mwanamke wa aina hiyo kwa kweli nawachukia vibaya, anakuwa kama mnyama vile duuh anakosa hata sense yakumjali mtoto wa kuzaa