Mzazi pambana umrithishe mtoto chochote kitu, elimu ni haki ya mtoto

Mzazi pambana umrithishe mtoto chochote kitu, elimu ni haki ya mtoto

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Wazazi wenzangu tupambane tuwaachie watoto wetu chochote kitu, elimu na malezi ni haki ya mtoto. Mimi Namshukuru mungu kwa hiki kidogo basi anachochakuanzia kwenye maisha yake.

Tusiwe na ubinafsi, tupunguze uvivu wa kufikiri, mimi mzee wangu nilimuambia asinipe chochote ili niwe na amani kwenye harakati zangu za utafutaji kwa sababu niliona Kuna kurogwa kwa sababu ya vitu ambavyo hata mimi mwenyewe nina uwezo wa kuvipata.

Japo kwa mtoto wangu ninacho na pia napambana kukiongezea ili walau nimuachie chochote.. Najisikia fahari sana kumuona mtoto wangu akitumia cha kwangu nilichokipata kwa jasho langu nina imani ananiona mimi ni baba mpambanaji sio mnyonge au mvivu.
 
Bora wewe unapabana kuwaachia wanao chochote kitu sisi wengine tuliambiwa tutafute vya kwetu vya kwake havituhusu.
Kauli za kibinafsi... Ni vyake atakufa navyo..... Hata kaunda suti zangu nikifa nitaziacha ni nani atazivaa kama sio mtoto wangu
 
Watz wengi vipato vyao havizidi mil 1 hadi 3 kwa mwezi na hawa ndo 90%

MTU mwenye kipato hiki unadhani kwa haraka haraka atampa nini mtoto wake zaidi ya elimu?

Personally Mimi binafsi ntamuandaa junior aje kuwa productive tu.

Maana binafsi mpaka muda huu sijaona impact ya urithi unaozidi elimu .

Mkuu wazo lako ni zuri Ila ili ufanikiwe kulifikia inahitaji uwe multimillionaire with ethics
 
Wazazi wenzangu tupambane tuwaachie watoto wetu chochote kitu, elimu na malezi ni haki ya mtoto. Mimi Namshukuru mungu kwa hiki kidogo basi anachochakuanzia kwenye maisha yake.

Tusiwe na ubinafsi, tupunguze uvivu wa kufikiri, mimi mzee wangu nilimuambia asinipe chochote ili niwe na amani kwenye harakati zangu za utafutaji kwa sababu niliona Kuna kurogwa kwa sababu ya vitu ambavyo hata mimi mwenyewe nina uwezo wa kuvipata.

Japo kwa mtoto wangu ninacho na pia napambana kukiongezea ili walau nimuachie chochote.. Najisikia fahari sana kumuona mtoto wangu akitumia cha kwangu nilichokipata kwa jasho langu nina imani ananiona mimi ni baba mpambanaji sio mnyonge au mvivu.
Wazazi wasio na elimu watakuja hapa na kulalamikia au kukusomea albadiri ufe kwani kwao shule si muhimu ila elimu ya madrasa ndiyo nzuri zaidi kwa watoto wao
 
Wazazi wenzangu tupambane tuwaachie watoto wetu chochote kitu, elimu na malezi ni haki ya mtoto. Mimi Namshukuru mungu kwa hiki kidogo basi anachochakuanzia kwenye maisha yake.

Tusiwe na ubinafsi, tupunguze uvivu wa kufikiri, mimi mzee wangu nilimuambia asinipe chochote ili niwe na amani kwenye harakati zangu za utafutaji kwa sababu niliona Kuna kurogwa kwa sababu ya vitu ambavyo hata mimi mwenyewe nina uwezo wa kuvipata.

Japo kwa mtoto wangu ninacho na pia napambana kukiongezea ili walau nimuachie chochote.. Najisikia fahari sana kumuona mtoto wangu akitumia cha kwangu nilichokipata kwa jasho langu nina imani ananiona mimi ni baba mpambanaji sio mnyonge au mvivu.
Hakuna cha kumrithisha zaidi ya busara na maarifa
 
Wazazi wenzangu tupambane tuwaachie watoto wetu chochote kitu, elimu na malezi ni haki ya mtoto. Mimi Namshukuru mungu kwa hiki kidogo basi anachochakuanzia kwenye maisha yake.

Tusiwe na ubinafsi, tupunguze uvivu wa kufikiri, mimi mzee wangu nilimuambia asinipe chochote ili niwe na amani kwenye harakati zangu za utafutaji kwa sababu niliona Kuna kurogwa kwa sababu ya vitu ambavyo hata mimi mwenyewe nina uwezo wa kuvipata.

Japo kwa mtoto wangu ninacho na pia napambana kukiongezea ili walau nimuachie chochote.. Najisikia fahari sana kumuona mtoto wangu akitumia cha kwangu nilichokipata kwa jasho langu nina imani ananiona mimi ni baba mpambanaji sio mnyonge au mvivu.
Ni kweli tuache ubinafsi
 
Usipomrithisha mtto chochote,sikunukifa watadhalilika,watateseka na hata kukulaani
 
Back
Top Bottom