Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Let me tell you brother,vijana wa kikistro kwa Sasa waoaji wachache sana tena mno at the end of a day wadada wanajaa makanisani kwenda omba wapate wanaume,muislam dini inamruhusu kuoa na kumpa Mke talaka lkn wakistro hapawo tyr kuolewa na waisalam.

NB
Kuna aya kwenye uisalam(Quran) inasema msiwaoe makafiri except km unajukinga wasikudhuru ila ni sharti kuoa walio kwenye Islam kwanza.
So it’s family choice je aolewe kwakua muoaji yupo au aendelee kuzini and kuzaa bila stable family
Kwa kifupi mzee hataki kuzikia hbr za Waislamu
 
Walininyima kuolewa nawaislamu saivi nipo tu nashangaaa . Isitoshe sipati mwanaume anayejielewa mpeni aolewe tu sio dhambi ndio maana kapewa .
 
Binafsi, si kwa muislamu tu, hata kama ni mkristu mwenzie, kwenda kuishi na mtu mnayetofautiana kiimani ya dini, ni hatari sana. Hili haliwezi onekana huku mwanzoni. Kile kinachofanya kila mtu awe na imani yake, siku kikiibuka ndo watajua joto ya jiwe. Embu fikiria, mkatoliki anayefunga ndoa na hawa wa kipentekoste, huyu mkatoliki atamueleza nini mpentekoste juu ya Bikira maria na akamuelewa? Kwenye IDI tu hawa wa suni na wengine mnaonaga kila mtu antangaza idi yake..!! Fikiria msuni aliyeolewa na muislamu asiye msuni, siku ya idi ya mmoja, huyu anayeendelea kufunga atafungua?
Uko sahih snaa
 
Walininyima kuolewa nawaislamu saivi nipo tu nashangaaa . Isitoshe sipati mwanaume anayejielewa mpeni aolewe tu sio dhambi ndio maana kapewa .
Hpn kwa kweli jichanganyeni kanisa. Huko Bora ubaki hvyo kuliko kuolewa na mwislamu ona jumaa awezo alicho fanya ameo mke wa pili din yake
 
Muacheni akaoelewe .....muda kidogo anapandishwa cheo anakuwa Mke Mkubwa..... Ndio atajua hajui....muacheni
 
acha aolewe nae wakishindwana atarudi kwenu muendelee kumlea ki K.K.K.T wala hakuna shida
 
Let me tell you brother,vijana wa kikistro kwa Sasa waoaji wachache sana tena mno at the end of a day wadada wanajaa makanisani kwenda omba wapate wanaume,muislam dini inamruhusu kuoa na kumpa Mke talaka lkn wakistro hapawo tyr kuolewa na waisalam.

NB
Kuna aya kwenye uisalam(Quran) inasema msiwaoe makafiri except km unajukinga wasikudhuru ila ni sharti kuoa walio kwenye Islam kwanza.
So it’s family choice je aolewe kwakua muoaji yupo au aendelee kuzini and kuzaa bila stable family
Ni haramu kwa Binti wa kiislamu kuolewa na asie muislam, na wanaume wa kiislam tumehalalishiwa kuoa wanawake wote wa kitabu, kwa maana ya wanawake wa kiislamu, wanawake wa kinaswara (Wakristo) na wanawake wa kiyahudi kwa sharti ya wawe wachamungu na watu wenye maadili, na sio lazima sana abadili dini, anaweza olewa na akabaki na dini yake na lau ukamshawishi akabafili dini inakiwa jambo zuri zaidi.

Haturuhusiwi kuoa wanawake wa kishirikina, wapagani na waabudu moto na nyoka na jua...
 
Hii haikubaliki...

Kuna siku huyo mtoto atamuita baba yake na wewe awaambie mmoja wenu amuoe...

Kama Abdul ni chaguo lake, mwacheni aolewe...
 
Nlikua sjui kwamba wakristo wanatuchukulia hivi na wanatuchukia sana waislam kias hiki asee nmesoma comment roho imeniuma sana😧
 
Back
Top Bottom