Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wajibu wenu nyie ni kumshauri, akigoma mwacheni aende kimyakimyaBaba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.
Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.
Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.
Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.
Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Hon swali hapo Ni kwamba hatukutakiNi kwa mwenye akili "TIMAMU" pekee atalielewa sawasawa swali lako
Sahih kbsaaaamimi pia nisingekubali binti yetu aolewe na dini nyingine.
TamekqA na jamii nzima imejuwa kuwa tumekataaa posa hyo hatuwatakiwajibu wenu nyie ni kumshauri, akigoma mwacheni aende kimyakimya
Uko sahihi mkuumimi pia nisingekubali binti yetu aolewe na dini nyingine.
Wewe ni mjinga pro max unaacha kufuata mila na desturi zenu unaenda saudi Arabia Israel kuabudu kwenye makaburi ya watu usiokua na unasaba naoIkiwa dini unayojinasibisha nayo haiongozi mfumo wako wa maisha basi jitafakari vizuri! either hiyo dini yako ni impractical au wewe si muumini wa kweli wa hiyo dini.
Huwezi kuamini mtuhumiwa hana hatia halafu bado ukamuadhibu!
Wewe ndio mtumwa wa fikra kabisa,yaani hapo unajiona mjaaanja kwa kufuata tamaduni za wagenj kutoka ulaya na uarabunihuyo binti ni mjinga sana, na atajuta maisha yake yooote. hakuna mwanamke aliwahi kubadili dini kuwa muislam asijutie baadaye, na huwa wanaishia kuwa makopo kichwani utafikiri akifika kule huwa anapakua ubongo wote halafu wanaweka hewa. nina ndugu zangu kadhaa walishawahi kubadili dini, wakazaa watoto na yakawashinda wakarudi na hawajawahi kutengamaa, wawili walikufa masingle mother, mmoja ndio anaishi kama ana laana tu. naona sijui walimsomea kisomo au walimpulizia harufu mbaya sijui.
"Mjinga" ni neno tu, unaweza kuliweka sehemu sahihi ama vinginenyo! Ila Ujinga katika sura yake yenyewe kabisa huonekana pale wa mjinga kweli anapofungua mdomo wake!Wewe ni mjinga pro max unaacha kufuata mila na desturi zenu unaenda saudi Arabia Israel kuabudu kwenye makaburi ya watu usiokua na unasaba nao
Mnakosea sana, inatakiwa kumuuliza mara tatu, kama bado msimamo wake ni huo, mruhusuni aoelewe.Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.
Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.
Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.
Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.
Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Swali zuriKwani anaolewa yeye au mnaolewa familia nzima?
Mpeni sharti yeye ndio abadiri dini kama anampenda binti wote wawe Christian au binti yenu abadiri dini awe muslim.TamekqA na jamii nzima imejuwa kuwa tumekataaa posa hyo hatuwataki
Kabla ya ujio wa wageni babu zetu walikua hawasomi shule,wanavaa majani ya miti,wanapikia vyungu nkKabla ya ujio wa Dini za Kigeni Babu zetu walikuwa wanaoa Wake wengi.
Labda ni Babu zako lakini Babu zangu wa Kitutsi walikuwa na Himaya na wanashona nguo kupikia Vyungu sio tatizo tatizo ni hizo sufuria za Aluminium ambazo sio nzuri kwa Afya.Kabla ya ujio wa wageni babu zetu walikua hawasomi shule,wanavaa majani ya miti,wanapikia vyungu nk