Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Ngoja aolewe then Abdul amletee mke kutokea Imani yake ndipo atakapojua hakujua kwanini wazazi walikataa kufungamanishwa nira moja na wasio amini. Binafsi huwa napenda na naamini kubadirika kwa mtu ni mpaka pale litakapomtokea puani alafu naishia kusema "NILIKWAMBIA"
Tumesema acha liwalo na limkute tu
 
Mbona povu sana.Badilishana nae basi uolewe wewe na hao KKKT.
Dada yako ni mlemavu wa akili mpaka mmchagulie mume?
Si umeandika amesoma mpaka Chuo Kikuu?
Ndio kasoma ila hatuwataki hatuwataki mkaone wenyeeew huko
 
Akiwaambiaa Nitafutieni anaenikojoza kama Abdul mtaweza???🤣🤣🤣 dini zililetwa tu acheni ubabaifuu japo watoto wakizaliwa watashindwa kuwa na msimamo kuhusu dini gani ya kufataa..
Ndio hapo bhnaa mzee wa kiamsiara heri aliwe na wakiristo awe mchepuko ila siyo ninyi wazeee wa makanzu
 
Mtoto akililia wembe mpe, anaweza katia kucha ama akajikata.
Plus, watoto wa kike hao mtakataa kataa kataa atapigwa PUMBU awaletee mimba.

Kwakuwa huyo abdul kaleta barua tena ya kuoa, muozesheni tu.
 
Mtoto akililia wembe mpe, anaweza katia kucha ama akajikata.
Plus, watoto wa kike hao mtakataa kataa kataa atapigwa PUMBU awaletee mimba.

Kwakuwa huyo abdul kaleta barua tena ya kuoa, muozesheni tu.
Hapana no Abdul atafute mke kweny msiskiti Huko watakuja mrushia dad etu majini yao
 
Unanikumbusha mbali sana mkuu.

Dini ilinifanya nishindwe kuwa na mwanamke niliyempenda kwa dhati sana. Tulipendana sana lakini mwisho tukaamua tu kunyoosha mikono ya kwamba M/Mungu hakupanga tuje kuwa wote kimaisha daima na milele. Mpaka sasa huwa tunawasiliana, yeye alishaolewa na mm nilishaoa pia kila mtu ana familia.

Huwa tutaonana mara kadhaa iwapo tukipata bahati ya kuwa mkoa mmoja kikazi ama kwa mambo mengine binafsi lakini sio kimapenzi. Tunasaidiana sana kwa mambo mengi ya kimaisha na kimaendeleo pia.

TULIPENDANA SANA.It was and still it will forever be...
 
Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.

Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.

Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.

Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.

Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Acheni ujinga, hizo imani ni tamaduni za wazungu na waarabu. Na hivyo vitabu ni vya hadithi tuu kama za shigongo. Mwache binti aolewe apewe mshedede azae watoto.
 
Back
Top Bottom