Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
huyo ni kumsusia kila kitu akitaka aondoke peke yake akajiozeshe huko, kuna siku tu atarudi amelowa kama kunguru aliyenyeshewa mvua, hana mbele wala nyuma.Amtoe bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo ni kumsusia kila kitu akitaka aondoke peke yake akajiozeshe huko, kuna siku tu atarudi amelowa kama kunguru aliyenyeshewa mvua, hana mbele wala nyuma.Amtoe bure.
Asimsusie. Amtoe bure tu.huyo ni kumsusia kila kitu akitaka aondoke peke yake akajiozeshe huko, kuna siku tu atarudi amelowa kama kunguru aliyenyeshewa mvua, hana mbele wala nyuma.
Kwa mkristo ambae ameoa au kuolewa na anamichepuko na anajiona Yupo kwenye NDOA huyo anakudanganya MkuuTamaa unayojua wewe ni mtu kuowa mke mwingine tu.
Vipi Wakristo wenye michepuko nje?
Kasage sumu musee.ndio is hakuwa hivo na hakika atakuwa muislaam,Ni yeye Ila hatutaki hyo mijaa yakufaa kanzu Sasa mzee Ana pressure
Juzi juzi nilihudhuria mazishi, ya kikristo, ndani ya mkoa jirani na Dar, kwenye kusoma risala, ilitajwa vibaya ameaacha wake wawili, ikatuaacha watu tunaondoka na tafakari.Dada aambiwe kabisa kwamba kuna mke wa 2 na 3 atakuja akae mshazali
Shihisha ulichoandika ili kieleweke, labda kama umeandika kiluga.Iwe kite cha warumu kusuye waislam mtu mbicho
Uko sahihi anaweza kuwa Muislamu ama mkristo, akawa na mambo ya hovyo ama mema.shida ni kwamba abdul mwenyew mgonga nyundo kama sisi ila angekua afisa flan at kutumia ushauri.
By the way utu wa mtu aupo kweny dini wala kabila
Ngoja aolewe then Abdul amletee mke kutokea Imani yake ndipo atakapojua hakujua kwanini wazazi walikataa kufungamanishwa nira moja na wasio amini. Binafsi huwa napenda na naamini kubadirika kwa mtu ni mpaka pale litakapomtokea puani alafu naishia kusema "NILIKWAMBIA"Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.
Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.
Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.
Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.
Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Umetoa hii number kwa upendo kabisa? Isije unawapa nafasi kina Abdul wengine wamnyatie🤣🤣0738336925 mcheki huwenda akakukubali
Abdul kazua taharuki...Hawa wanaolewa na Abdul,familia nzima.
Kama inawezekana muoe wewe, mkkkt mwenzake.Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.
Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.
Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.
Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.
Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Mbona povu sana.Badilishana nae basi uolewe wewe na hao KKKT.Ni yeye Ila hatutaki hyo mijaa yakufaa kanzu Sasa mzee Ana pressure
Kuna wakristo kibao wana wake wawili. KalagabahoMshauri asikubali na akikubali mtengeni kwani atakuwa kafiri huyo na ajiandae kuletewa mke wa pili.
Amepagawa na dudu la yuyu.Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.
Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.
Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.
Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.
Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Dahmdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu