Bab angu mdgo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyo umia kwa kile mdg wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakt sisi Ni wakristo ,mzee anasema HV wanaume wameisha kias kwamba Hadi aolewe na Waisilamu ,,kweli mdg wetu nimzuri Ni sna amesoma had chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa iamni nyingine wakt ss tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia kkke tunda liiva sharti lipelekwe sokoni
Tumemshauri mdg wetu atulie kwanza kwnza Bado mdg na pia mwanaume hawez mkosa amtakae yey lkn amegoma kutusikilizaa kbsa amesma ataolewa na ABDULI TU ova
wakuu nimshauri vp mzee kwa ananitegemea mm kumpa ushauri ametokea kuniamni
Kuna msatari was bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA