Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Ukweli usemwe ,Baba mdogo yuko sahihi na wewe simama na Baba mdogo na kukataa hiyo mahari na kumuonya Dada yako mpe hizi hoja

Na kesho na leshokutwaa mtamuweka mdogo wenu kwenye migogoro isiyoishaa

nakupa tuu hii taarifa Waisilamu ni wa baguzii na huyo dada yenu atatengwe na lazima asilimuu.

Na mwishowe ataachwaa ,simama na baba mdogo ,bora hata awaleteee dhehebu lingine lakini sio hawa akina mkojanii.


Lapili mke wa pili


Latatu mtaanza kuona dada yenu ana majini

Atawasumbua sanaaaaaaaaaa

Hadi mkomeee
Uandishi wako unatosha kuezelea nyanda za juu kaskazini ukoje.

The fun fact is kunapokuwa na jibu la ndio ama hapana yoyote anaweza kupatia ila vituko ni pale unapoomba working za jibu husika ndo uta-blow i.e. swali, kazi, jibu

Is fish a Mamal?, no it's not, because the kid fish doesn't call her Mom!
 
Ukweli usemwe ,Baba mdogo yuko sahihi na wewe simama na Baba mdogo na kukataa hiyo mahari na kumuonya Dada yako mpe hizi hoja

Na kesho na leshokutwaa mtamuweka mdogo wenu kwenye migogoro isiyoishaa

nakupa tuu hii taarifa Waisilamu ni wa baguzii na huyo dada yenu atatengwe na lazima asilimuu.

Na mwishowe ataachwaa ,simama na baba mdogo ,bora hata awaleteee dhehebu lingine lakini sio hawa akina mkojanii.


Lapili mke wa pili


Latatu mtaanza kuona dada yenu ana majini

Atawasumbua sanaaaaaaaaaa

Hadi mkome
Dini za kurithi hizi isikusumbue Mababu zako wangekua watu wa pwani ungerithi uwislam,au Babu zako wangetawaliwa na mchina ungekua Buggha na hiyo Dini ya Mzungu ungeiyona Ushenzi tu.
 
Huu
Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.

Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.

Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.

Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.

Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Huu utumwa Mimi niliukataa nikamwambia mdogo wangu njoo nikuozeshe Mimi kama baba Yako amegoma mamana hizi Imani zinatutenganisha lakini tata baba Yako angezaliwa Tanga au kwingineko ambako dini ya kislamu ilianza kuenea angeweza kuwa muislamu so sababu za kijiografia zisilete shida nitakuoza na kikaendelea na mchakato na wao wakajiunga tukamuozesha Binti Zenji yupo mpaka sasa huko
 
Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.

Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.

Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.

Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.

Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Dah ......ila tumefikia huko 😿😿
 
Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.

Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.

Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.

Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.

Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Subirini awaletee mimba kwanza ndo mtajia hamjui.
 
Back
Top Bottom