Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Sitaki kuwa mbaguzi kiimani ila hata mimi sitakubali kwa binti yangu, its two different traditions, aje mkristo wa dhehebu lolote hasa KKKT ila sio muislam. It is what it is.
Uzuri hapo hakuna mwenye obligation. Wewe unaweza kukataa , na yeye anaweza kuamua kuolewa.
 
Ukweli usemwe ,Baba mdogo yuko sahihi na wewe simama na Baba mdogo na kukataa hiyo mahari na kumuonya Dada yako mpe hizi hoja

Na kesho na leshokutwaa mtamuweka mdogo wenu kwenye migogoro isiyoishaa

nakupa tuu hii taarifa Waisilamu ni wa baguzii na huyo dada yenu atatengwe na lazima asilimuu.

Na mwishowe ataachwaa ,simama na baba mdogo ,bora hata awaleteee dhehebu lingine lakini sio hawa akina mkojanii.


Lapili mke wa pili


Latatu mtaanza kuona dada yenu ana majini

Atawasumbua sanaaaaaaaaaa

Hadi mkomeee
Walikataliwa huwa wanarushiwa majini
 
Ukweli usemwe ,Baba mdogo yuko sahihi na wewe simama na Baba mdogo na kukataa hiyo mahari na kumuonya Dada yako mpe hizi hoja

Na kesho na leshokutwaa mtamuweka mdogo wenu kwenye migogoro isiyoishaa

nakupa tuu hii taarifa Waisilamu ni wa baguzii na huyo dada yenu atatengwe na lazima asilimuu.

Na mwishowe ataachwaa ,simama na baba mdogo ,bora hata awaleteee dhehebu lingine lakini sio hawa akina mkojanii.


Lapili mke wa pili


Latatu mtaanza kuona dada yenu ana majini

Atawasumbua sanaaaaaaaaaa

Hadi mkomeee
Walikataliwa huwa wanarushiwa majini
 
Mzee akikataa hata kama alikuwa mwanaume mzuri mambo yatakwenda mlama mbeleni
Atulie kwanza mpaka moyo wa Baba ukubali
 
Aje hat mkkkt mweztu au mkatoli au mtag na msabato ila siyo hao jamaa Muda wowte unafanywa mke wa pili
Hayo mambo ya kizamani kama vile watu walikua wanaowana kwa makabila yao ,siku hizi hakuna ujinga.huo! Mshauri mzee wako soon atalea mjuku wake kutoka.kwa Abdul!!
 
Mpeni sharti yeye ndio abadiri dini kama anampenda binti wote wawe Christian au binti yenu abadiri dini awe muslim.

Kwa hizi primitive society zetu simshauri mtu kuoa au kuolewa na mtu wa imani tofauti, kama mnapenda kweli basi mmoja ni lazima afuate imani ya mwenzake isiwasumbuwe hata kwenye malezi ya watoto.
Hili la kubadili dini Abdul awe mkristo wacha tuwasiline nae kump shart Hilo ila ss hatukubali knsa mtoto awe musilmu
 
2 Wakorintho 6:14
"Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?"

Waefeso 6:1
"Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki"

Nimeona wengi wakimwacha Yesu kwa sababu ya kutaka ndoa😭😭😭.
Hawajui wanachopoteza.
Mshaurini,akikataa mwacheni.
Ndio hvyo tumemshauri amegoma na mistari hiyo tumesoma
 
Dini zimekuja kuleta utengano. Hapo ungekua unaoa kwa mpagani usingekutana na vikwazo hivyo.

Kwani hamuwezi kuoana na kila mtu abaki na imani yake?
 
Dini zimekuja kuleta utengano. Hapo ungekua unaoa kwa mpagani usingekutana na vikwazo hivyo.

Kwani hamuwezi kuoana na kila mtu abaki na imani yake?
Na wewe ni walewale tu, mtu kutokuwa mfuasi wa dini za Ibrahim haina maana kwamba ni mpagani.
 
Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.

Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.

Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.

Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.

Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Binafsi, si kwa muislamu tu, hata kama ni mkristu mwenzie, kwenda kuishi na mtu mnayetofautiana kiimani ya dini, ni hatari sana. Hili haliwezi onekana huku mwanzoni. Kile kinachofanya kila mtu awe na imani yake, siku kikiibuka ndo watajua joto ya jiwe. Embu fikiria, mkatoliki anayefunga ndoa na hawa wa kipentekoste, huyu mkatoliki atamueleza nini mpentekoste juu ya Bikira maria na akamuelewa? Kwenye IDI tu hawa wa suni na wengine mnaonaga kila mtu antangaza idi yake..!! Fikiria msuni aliyeolewa na muislamu asiye msuni, siku ya idi ya mmoja, huyu anayeendelea kufunga atafungua?
 
Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.

Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.

Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.

Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.

Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Let me tell you brother,vijana wa kikistro kwa Sasa waoaji wachache sana tena mno at the end of a day wadada wanajaa makanisani kwenda omba wapate wanaume,muislam dini inamruhusu kuoa na kumpa Mke talaka lkn wakistro hapawo tyr kuolewa na waisalam.

NB
Kuna aya kwenye uisalam(Quran) inasema msiwaoe makafiri except km unajukinga wasikudhuru ila ni sharti kuoa walio kwenye Islam kwanza.
So it’s family choice je aolewe kwakua muoaji yupo au aendelee kuzini and kuzaa bila stable family
 
Binafsi, si kwa muislamu tu, hata kama ni mkristu mwenzie, kwenda kuishi na mtu mnayetofautiana kiimani ya dini, ni hatari sana. Hili haliwezi onekana huku mwanzoni. Kile kinachofanya kila mtu awe na imani yake, siku kikiibuka ndo watajua joto ya jiwe. Embu fikiria, mkatoliki anayefunga ndoa na hawa wa kipentekoste, huyu mkatoliki atamueleza nini mpentekoste juu ya Bikira maria na akamuelewa? Kwenye IDI tu hawa wa suni na wengine mnaonaga kila mtu antangaza idi yake..!! Fikiria msuni aliyeolewa na muislamu asiye msuni, siku ya idi ya mmoja, huyu anayeendelea kufunga atafungua?
Kwa kweli Ni blaaa
 
Back
Top Bottom